Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Hii ni ishara ya kwamba sasa Mzuka wa Katiba mpya umekwishafika kila mtaa , kwa sisi wapenda haki hii ni hatua kubwa sana , kwa kifupi ni kwamba Katiba mpya sasa haizuiliki tena .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujui kitu , nyamaza kimyaHao ni Wananchi au kijiwe cha kahawa cha Askofu Mwamakula
Hii ni ishara ya kwamba sasa Mzuka wa Katiba mpya umekwishafika kila mtaa , kwa sisi wapenda haki hii ni hatua kubwa sana , kwa kifupi ni kwamba Katiba mpya sasa haizuiliki tena .
View attachment 2005048
Kwa vile wewe unalipwa elfu 7 basi unaamini kila kitu ni biashara !Ebu acha Ujinga , haraka saana huyo si mteja wa huyo dingi? kandarasi tu hiyo
Tunaendelea kudai Katiba Mpya.Hii ni ishara ya kwamba sasa Mzuka wa Katiba mpya umekwishafika kila mtaa , kwa sisi wapenda haki hii ni hatua kubwa sana , kwa kifupi ni kwamba Katiba mpya sasa haizuiliki tena .
View attachment 2005048
Kumbe na ww nj mjinga kias hiki, nlfkirigi unaakili baada ya kusoma baadhi ya threads zakoHii ni ishara ya kwamba sasa Mzuka wa Katiba mpya umekwishafika kila mtaa , kwa sisi wapenda haki hii ni hatua kubwa sana , kwa kifupi ni kwamba Katiba mpya sasa haizuiliki tena .
View attachment 2005048
Hii ni ishara ya kwamba sasa Mzuka wa Katiba mpya umekwishafika kila mtaa , kwa sisi wapenda haki hii ni hatua kubwa sana , kwa kifupi ni kwamba Katiba mpya sasa haizuiliki tena .
View attachment 2005048
Unaogopa katiba mpya na bado unawaona watu wajinga?! Kweli..!Kumbe na ww nj mjinga kias hiki, nlfkirigi unaakili baada ya kusoma baadhi ya threads zako
Joined 25/2/2021Kumbe na ww nj mjinga kias hiki, nlfkirigi unaakili baada ya kusoma baadhi ya threads zako
[emoji38][emoji38][emoji38]Unaogopa katiba mpya na bado unawaona watu wajinga?! Kweli..!
Ipo siku tutanena lugha moja,taifa hili limejaa watu wabinafsi sana dawa ni katiba mpyaHao ni Wananchi au kijiwe cha kahawa cha Askofu Mwamakula
Badala ya kutaja genge la wanaufipa, unasingizia wananchi ambao wako bize na kilimo cha mvua za vuli. Hizi ngonjera za katiba wananchi wameshawapuuza mda mrefuuu.Hii ni ishara ya kwamba sasa Mzuka wa Katiba mpya umekwishafika kila mtaa , kwa sisi wapenda haki hii ni hatua kubwa sana , kwa kifupi ni kwamba Katiba mpya sasa haizuiliki tena .
View attachment 2005048
Wako bize na kilimo wapi,ipo siku tutasema kwa lugha moja Tunataka katiba mpyaBadala ya kutaja genge la wanaufipa, unasingizia wananchi ambao wako bize na kilimo cha mvua za vuli. Hizi ngonjera za katiba wananchi wameshawapuuza mda mrefuuu.
TMA washasema hakuna mvua , unazungumzia zile mvua za kununua Thailand ?Badala ya kutaja genge la wanaufipa, unasingizia wananchi ambao wako bize na kilimo cha mvua za vuli. Hizi ngonjera za katiba wananchi wameshawapuuza mda mrefuuu.
Mazao wanakopwa kila mwaka !Wako bize na kilimo wapi,ipo siku tutasema kwa lugha moja Tunataka katiba mpya
Katiba mpya italetwa na wananchi wasio na mlengo wa itikadi yoyote ya chama cha siasa, kwahiyo magenge ya wanaufipa tayari yamesha najisi zoezi zima la katibaaa. Katiba ya wananchi haiwezi kuletwa na mihemko ya vyama vya siasa. Ikumbukwe kuwa katiba ni kio cha wenye vyama na wasio na vyamaaa. Hivyo sasa wanaufipa hangaikieni katiba ya ufipani sio katiba ya wananchiii.Wako bize na kilimo wapi,ipo siku tutasema kwa lugha moja Tunataka katiba mpya
Maeneo mengi tuko bize na kuandaa mashamba na wengine tumeshaanza kupandaa. Nyie endeleeeni na ngonjera zenu za katiba. Watanzania wameshawaapuuza, mpaka siku wao wenyewe watakapo amua, sio hilo genge lenu.TMA washasema hakuna mvua , unazungumzia zile mvua za kununua Thailand ?