Nyamizi
Platinum Member
- Feb 19, 2009
- 9,186
- 13,757
Kwahiyo members wapya hawana mawazo mazuri acha hulka za kijuha Mkuu toa hoja pinga kwa hoja sio kuattack watu kwa upya wao ndani ya jukwaa..
Anajiona yeye mkongwe na ana haki ya kuamua nani acomment,sijui wale waliojiunga 2006 wakati JF inaanzishwa wao watasemaje sasa