Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnapinda mgongo halafu mnapangiwa pa kuuza na wale ambao hawajui hata Mahindi yanalimwaje ! Katiba mpya itaruhusu mwananchi kuuza mazao yake popoteMaeneo mengi tuko bize na kuandaa mashamba na wengine tumeshaanza kupandaa. Nyie endeleeeni na ngonjera zenu za katiba. Watanzania wameshawaapuuza, mpaka siku wao wenyewe watakapo amua, sio hilo genge lenu.
Maingizo mapya ya buku 7 ili kumdhibiti erythrocyte , shida ni kwamba hawana hojaKa Uzi kana members wapya wengi, sijui shida Ni nini aisee.
Daini katiba ya chama chenu . siku wananchi wenyewe watakapooona umuhim wa hiyo katiba, wataidai. Sio kwa mihemko yenu wanaufipa. Mnachonga vikaragosi wenyewe halafu mnaviposti wenyewe kisha mnasingizia wananchi, hovyo kabisaa. Mwanzoni mlikuja na kiki ya chama chenu kudai katiba, baada ya mambo kuwamagumu mumebadilisha lugha eti wananchi. Yaaani mnachekesha saaanaaMnapinda mgongo halafu mnapangiwa pa kuuza na wale ambao hawajui hata Mahindi yanalimwaje ! Katiba mpya itaruhusu mwananchi kuuza mazao yake popote
Joined 8/8/2021Daini katiba ya chama chenu . siku wananchi wenyewe watakapooona umuhim wa hiyo katiba, wataidai. Sio kwa mihemko yenu wanaufipa. Mnachonga vikaragosi wenyewe halafu mnaviposti wenyewe kisha mnasingizia wananchi, hovyo kabisaa. Mwanzoni mlikuja na kiki ya chama chenu kudai katiba, baada ya mambo kuwamagumu mumebadilisha lugha eti wananchi. Yaaani mnachekesha saaanaa
Kwahiyo wewe unawaona ni magurudumu ya baisikeli siyo watu!Hao ni Wananchi au kijiwe cha kahawa cha Askofu Mwamakula
Ngoja tuwanyoooheeJoined 8/8/2021
Hiki kijiwe cha huyu mchoraji inanabidi kivunjwe, akusanye tu hizo kopo zake za rangi asepe maana umeshamjazia Nzi.😂😂😂Hii ni ishara ya kwamba sasa Mzuka wa Katiba mpya umekwishafika kila mtaa , kwa sisi wapenda haki hii ni hatua kubwa sana , kwa kifupi ni kwamba Katiba mpya sasa haizuiliki tena .
View attachment 2005048
Huyo askofu kanisa lake liko wapi? Lina waamini kweli? Basi kuwa askofu ni rahisi sana kama huyu ni askofu "mkuu"Hao ni Wananchi au kijiwe cha kahawa cha Askofu Mwamakula
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ni Mjinga tu kama wewe asiyejua UMUHIMU wa KATIBA MPYAHao ni Wananchi au kijiwe cha kahawa cha Askofu Mwamakula
Huna akiliHao ni Wananchi au kijiwe cha kahawa cha Askofu Mwamakula
Hii habari ya katiba mpya nadhani serikali na wadau wa siasa wakae mezani watafute namna ya kupata muafaka na kama ikiwezekana katiba mpya ipatikane kuliko kuendelea kukomaa kwa pande zote mbili. Upande unaoona hakuna haja ya katiba mpya na ule unaodai katiba mpya. Mara zote malumbano na mabishano huishia kwenye vurugu ambazo sisi raia wa kawaida hatuzitaki maana ndiyo tutakuwa waanga in case of anything bad@Hii ni ishara ya kwamba sasa Mzuka wa Katiba mpya umekwishafika kila mtaa , kwa sisi wapenda haki hii ni hatua kubwa sana , kwa kifupi ni kwamba Katiba mpya sasa haizuiliki tena .
View attachment 2005048
Kwahiyo members wapya hawana mawazo mazuri acha hulka za kijuha Mkuu toa hoja pinga kwa hoja sio kuattack watu kwa upya wao ndani ya jukwaa..Joined 8/8/2021
Ndio akae kimya lakini wananchi wako wapi hapo?Hujui kitu , nyamaza kimya
Hii ni ishara ya kwamba sasa Mzuka wa Katiba mpya umekwishafika kila mtaa , kwa sisi wapenda haki hii ni hatua kubwa sana , kwa kifupi ni kwamba Katiba mpya sasa haizuiliki tena .
View attachment 2005048
Hii ni ishara ya kwamba sasa Mzuka wa Katiba mpya umekwishafika kila mtaa , kwa sisi wapenda haki hii ni hatua kubwa sana , kwa kifupi ni kwamba Katiba mpya sasa haizuiliki tena .
View attachment 2005048
Ni kijana amepewa kazi na huyo askofu uchwara amchore. Unaonana Pembeni kuna hata zana za kazi na rangi za fundi. Acha kudanganya watu. Sisi wananchi katiba mpya siyo kipaumbele chetu cha sasaHii ni ishara ya kwamba sasa Mzuka wa Katiba mpya umekwishafika kila mtaa , kwa sisi wapenda haki hii ni hatua kubwa sana , kwa kifupi ni kwamba Katiba mpya sasa haizuiliki tena .
View attachment 2005048
Ana tabia hii sana. Ni ulimbukeni kwa kweli badala ya kuona hoja yako yeye anaona upya wako.Utafikiri yeye alizaliwa akawa member wa jfKwahiyo members wapya hawana mawazo mazuri acha hulka za kijuha Mkuu toa hoja pinga kwa hoja sio kuattack watu kwa upya wao ndani ya jukwaa..
Unataka Nini kiondolewe kwenye katba ya zamani na unataka Nini kiwekwe kwenye katiba mpya?Tunaendelea kudai Katiba Mpya.
Nani asiyependa katiba mpya na kwa nini?