Kimetulamba kwenye written interview

halafu madam,
hivi umejuaje kama hayo maswali yalifaa waletewe walimu wa sayansi na sio wewe na wasahiliwa wenzako?

nikisema ulikua unajua ila hukua umejianda ntakua na kosea kweli?

kwaababu mpaka unajua hiki kilifaa wale wengine na hiki sicho ama ndicho, meaning unafahamu each and everything..🐒

hata na hivyo,
kwa Neema na Baraka za Mungu, naona kama umefaulu usahili huo wa written, but ni muhimu kujiandaa vizur kwa oral interviews, but next time make sure umejipanga vizur ili ufanye vizur zaidi.
Mungu akubariki sana 🐒
 
Mlifanya kwenye computer?
,,Au mlikuwa mnacharaza kwene booklet
 
Mkuu nawataka hao mbuzi.
Nimejenga Banda la juu liko Safi Sana.
Nitumie namba ya simu wapi nawapata.
Karibu PM.
 
Mlipewa hata chai na vitafunwa ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…