Kimetulamba kwenye written interview

jamaa wanambinu nyingi sana za kupunguza watu sisi wali tuletea maswali ya Easy 3 na moja kujieleza alafu mda dk 40 asilimia kubwa ya watahiniwa hawakuweza kufanya maswali yote wengi waliishia swali la 2na 3 aisee
 
We ni Lab sience au Health Laboratory?
Maana hayo maswali yanawafaa Lab science vinginevyo mmemixiwa mitihani kama sio walioandaa interview ni wamechanganyikiwa🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…