Kimetulamba kwenye written interview

Acha kulia lengo sio hiz mtihan lengo let ni mkono mtupu haulambwi hata sisi hatuwapendi,,,,vip mtoto wako unafikiria kusoma kama wewe?
 
Mwana, o'level ulipitaje sasa?

Niliwahi fanya pre mature entry mlimani univeristy, tulikutana na maswali ya hesabu za std 7. Washikaji kilichotukuta ni aibu.
 
Duce chuo changu nimemaliza mwaka huu apo yaan elimu ya hapo ngumu kinoma Yaan watu kupata carry, sup na kudisco ni kitu Cha kawaida 🔥
 
Ww ni kilaza tu hujasoma mbona matokeo ya maksi watu wamefanya vzr tu??halafu acha kutoa matokeo jumuishi kuwa mtihani ulikuwa mgumu, jiongelee ww binafsi kuwa ulikugonga siyo wote!
Kheee 😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…