Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hongera mwenyezi mungu akuongozeNishapitaa mbona...labda nijipange na oral interview...
Mimi niliomba zile za transfer na barua ilielekeza kutuma barua njia ya postal so kwenye account tena....daaah!Ukiona hivo ujue hukuchanguliwa mbona pdf ilitemwa ...na taarifa za kuwa selected zipo kwenye account Yako ..
Kumbe huyu ni maabaraHii ya kwenye huu uzi n ile ya cutoff 50 sio hy ya 80
Tunaposema utumishi hawana mzaa huwa hamuelewKwendraaa😂😂
M mpaka nimewaza au wamekosea kutupa paper maqna lile paper linawafaa walimu
😂😂😂😂😂😂😂kwani form two na form three uliruka madarasa…..kula chuma hichoNajuua.najua haswaaa ila we maswali hujayaona unaongea tu kule niku Kukomoana....kwann yasinge base kwenye taalum yangu...
🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤪Nyuzi za ngono upo active sana, Kuna Uzi flani wa kunyonya mbususu ulikua kinara sana..... Hizo interview waachie wenye nazo
Basi paper umepasua 😂😂😂😂Nilisoma..kwani unataka kusemaje ....?
Hahahaha nasikia ilikuwa how to finyia kwa ndani Y ikiwa X iko nje 😂😂😂😂😂! Jokes tuu lakini utumishi wanakanda labda usiwe ujapita mikononi mwao aiseee…..😂😂😂😂Kwa hiyo ile mada topic yako pendwa hawajaiweka hao kweli ni makatili asee
😂😂😂😂😂😂Mtu akifeli intavyuu za utumishi wala simshangai ujue. Maana wapo kukomoa tuu
😂😂😂 mwisho alijua ataambiwa atafute thaman ya k ikiwa x iko ndani ya y toa three equal to some, = ili apate jibu three someHahahaha nasikia ilikuwa how to finyia kwa ndani Y ikiwa X iko nje 😂😂😂😂😂! Jokes tuu lakini utumishi wanakanda labda usiwe ujapita mikononi mwao aiseee…..😂😂😂😂
Wakitolewa maswala ya speech bado ni kada yao wanapaswa kufahamu! Tena hao wanaweza ulizwa kabisa jinsi ya kuandika barua ya mualiko😂😂😂😂Yani mjipange msishangae mntolewa part of speech 😁😁
😂😂😂😂😂😂😂😂😂 mwisho alijua ataambiwa atafute thaman ya k ikiwa x iko ndani ya y toa three equal to some, = ili apate jibu three some
wakamstukia
Huu uzi ni vilio tuuu😂😂😂😂! Walimu wajiandae na suprise wakijichanganya tuu ni vilio zaidi ya hiviKishawalamba Huko chupi chini.
Afiya afiyaaa afiyaaa chuma Yao njooni Huku tuchome mihogo na mahindi tuchangie Kodi nchii hii bi chura apate nauri ya kuzurura duniani huko ondoeni mind za kuila nchi waliopo kwenye system wanatosha mana wanakula kama lung'wawa
Walimu wanatakiwa kujua kuwa ndugu Mpwayungu Village ana subiri habari zao za mwalimu kuzimia kwenye usaili😂😂😂😂😂Na walimu mtakapoitwa kwa usaili mjiandae kabisa kisaikolojia.
Kwa nyomi lenu kutakuwa na machozi kila mtaa