Kimetulamba kwenye written interview

Kimetulamba kwenye written interview

Ndo written ilivyo, lengo ni kuwa prune kisawa sawa

Unadhani kutafuta watu 30 kwenye 600+ ni rahisi?
 
Najuua.najua haswaaa ila we maswali hujayaona unaongea tu kule niku Kukomoana....kwann yasinge base kwenye taalum yangu...
😂😂😂😂😂😂😂kwani form two na form three uliruka madarasa…..kula chuma hicho
 
Kwa hiyo ile mada topic yako pendwa hawajaiweka hao kweli ni makatili asee
Hahahaha nasikia ilikuwa how to finyia kwa ndani Y ikiwa X iko nje 😂😂😂😂😂! Jokes tuu lakini utumishi wanakanda labda usiwe ujapita mikononi mwao aiseee…..😂😂😂😂
 
Hahahaha nasikia ilikuwa how to finyia kwa ndani Y ikiwa X iko nje 😂😂😂😂😂! Jokes tuu lakini utumishi wanakanda labda usiwe ujapita mikononi mwao aiseee…..😂😂😂😂
😂😂😂 mwisho alijua ataambiwa atafute thaman ya k ikiwa x iko ndani ya y toa three equal to some, = ili apate jibu three some

wakamstukia
 
Kishawalamba Huko chupi chini.
Afiya afiyaaa afiyaaa chuma Yao njooni Huku tuchome mihogo na mahindi tuchangie Kodi nchii hii bi chura apate nauri ya kuzurura duniani huko ondoeni mind za kuila nchi waliopo kwenye system wanatosha mana wanakula kama lung'wawa
Huu uzi ni vilio tuuu😂😂😂😂! Walimu wajiandae na suprise wakijichanganya tuu ni vilio zaidi ya hivi
 
Back
Top Bottom