Kimetulamba kwenye written interview

Khee...Sasa Mimi ni mwalimu??
Kwanini wasituchanganyie maswali...mbona ma nurse na co waletolewa afya

Khee...Sasa Mimi ni mwalimu??
Kwanini wasituchanganyie maswali...mbona ma nurse na co waletolewa afya pure ..!!
Hatujapendaaaaa
Kwani ilikua interview ya ualimu au Afya?? Sometimes we have to consider humanity
 
Na ndivyo inapaswa iwe, hiyo ndio intavyuu tunapima uelewa na upeo sio mambo uliyokariri shule. We unalia kuna watu wameteleza na wamelia na wewe. Subiri matokeo utaona.
 
Kama maswali ya sekondari na wewe umefaulu sekondari, huoni ni upendeleo na Bahati kwako?
 
Pole sana mkuu
 
Wala hawajakosea, sema huna kumbukumbu.
Kama muda wote unashinda MMU unategemea utakumbuka mambo ya nyuma?
Msingi mkubwa wa Medical Lab na Pharmacy ni Chemistry, sasa kama hujui Volumetric Analysis, na mashaka sana kama hata Chuo kikuu ulitoka vizuri.

Ni msiba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ