Kimetulamba kwenye written interview

Kimetulamba kwenye written interview

Khee...Sasa Mimi ni mwalimu??
Kwanini wasituchanganyie maswali...mbona ma nurse na co waletolewa afya pure ..!!
Hatujapendaaaaa
Lab Practicals hazina o-level au PhD.
Poleni, yalitukuta mwaka flani tulifanyia hapo hapo DUCE watu wa IT tuliletewa maswali ya new technology SAP-HANA wakati huo 99.999% ya wataalam wote wa Database Africa nzima hawatumii au hawajui kuhusu hiyo tech mpya.
Kwa bahati nilikuwa nime subscribe tech forum flani ya nje walikuwa wananitumia news feed na maelezo ya tech mpya kila zikitoka hivyo nilijua kidogo nikatoboa written interview nikaja kukwama kijinga kwenye practical afu mavitu ya kawaida tu.
Watu Kama 1200 tulitoboa 13 tu.
 
Ebwanaa eeh..Leo kwenye interview (DUCE) picha linaanza Hilo hall tuloingia limeshona balaah!
Yani hamna upenyo watu Kama wote almost kama 600..na hapo Kuna wengine wamezuliwa kuingia kwa kukosa vigezo..

Picha lenyewe Sasa....👇
Kwa upande WA lab technician Mtihani
waliyotuletea ni WA maabara za viwandani😂 yani hamna hata swali Moja la afya...

Yani wametuletea ma volumetric analysis, ma elasticity Yale ya O-level...yani .zile practical za form 4 ndo tumeletewa hamna swali Moja la afya 🥺ule Mtihani kwa mwanafunzi
WA form 3&4 alokwiva vizuri anapata yote...
Halafu Mtihani ni multiple choice na dk 40 yani Kila jibu unaliona sawa 😁
Licha ya kubanana ila Ukisema upige Chabo kwa mwenzako kimekulamba unaangalizia nini uongo au maana Kila mtu amestaajabu tu anakuna kichwa
Na wasimamizi hawakuwa na muda wa ku tu supervise yani...limetushuka balaah

Baada ya kutoka nkamuuliza rafiki yangu wa pharmacy akanambia nao ndo vile vile hawwjatolewa swali Moja la afya..
My take...hayo maswali tuloletewa ingebidi waletewe walimu wa sayansi kwa hili tumeonewa au basi wangetuchanganyia ila sio kutufanyia hivi...
Kama ni lengo ni kutupunguza basii limetiki haswaaa😒
Pambana ununue mbuzi 3 aina ya BOER GOAT pure. Jike 2 na dume moja. Kila mmoja 190,000 hivi ni vitoto vya miezi 2 au 3

Ukiwalisha vizuri wanazaa hadi 4. Na kawaida wanazaa 2.

Banda liwe la juu yaani wasilalie mkojo. Pawe pakavu.

Hawachagui chakula ndiyo uzuri wao.

Dume anakua na hadi kg 80 anauzwa hadi laki 5 kwa bei ya jumla.

Nimeandika tu sababu naona hizi mentality za kuajiriwa zina madhara makubwa sana. Watu wanajichelewesha sana kimaisha.

Karibuni kwa kubeza! Na dharau na kejeli.
 
Pambana ununue mbuzi 3 aina ya BOER GOAT pure. Jike 2 na dume moja. Kila mmoja 190,000 hivi ni vitoto vya miezi 2 au 3

Ukiwalisha vizuri wanazaa hadi 4. Na kawaida wanazaa 2.

Banda liwe la juu yaani wasilalie mkojo. Pawe pakavu.

Hawachagui chakula ndiyo uzuri wao.

Dume anakua na hadi kg 80 anauzwa hadi laki 5 kwa bei ya jumla.

Nimeandika tu sababu naona hizi mentality za kuajiriwa zina madhara makubwa sana. Watu wanajichelewesha sana kimaisha.

Karibuni kwa kubeza! Na dharau na kejeli.
Interesting....
Iila ngoja nianze na kilimo cha matikiti na nyanya kwanza...
 
Back
Top Bottom