Kimeumana! Gambo amshukia kama mwewe mkurugenzi wa jiji la Arusha

Kimeumana! Gambo amshukia kama mwewe mkurugenzi wa jiji la Arusha

[emoji1787][emoji1787]Huyo ndiye Komredi Mrisho Gambo.....

Labda Dr.Pima hamjui vizuri El Comandante Gambo.....

Aulizie nguvu zake kipindi kile cha CCM STAMINAZ ya kina Komredi James Ole Millya na komredi Ally Bananga Mwatiga.....

Dr.Pima akaziulizie nguvu za Komredi Gambo kwa mama yetu Komredi Mary Chatanda.......

My take:

MBUNGE ana haki ya kualikwa katika miradi ya MAENDELEO...Awe wa CCM ama upinzani....Wabunge ndio wanaotunga sheria zetu.....


#SisiNiWamojaChiniYaChifuMkuuHangaya
#NchiKwanzaKablaYaMaslahiYetuNaNafsiZetu

SIEMPRE CCM
[emoji13][emoji13][emoji13]Ana nguvu gani Gambo wewe?? Chuki tu na uzushi. Huyu kila KIONGOZI hamtaki, amesahau hata huyo mkurugenzi alimpambania mpaka akawa hapo alipo[emoji13][emoji13], Ana nguvu yoyote kuzidi chama na serkali. Na assipojirekebisha ni one term mp, kamweleze. Nakwambia haya nikiwa kada kindakindakinwa CCM na mwananchi mbobevu wa Arusha na vitongoji vyake vyote. Yani mi Mzee wa chuga, mweleze huyo kijana atulie afanye KAZI, aache migongani na viongozi wenzake. Akae vizuri na Mongela, na Sophia hata na mkurugenzi. Mwambien taratibu akuelewe
 
Mbunge wa Arusha Mjini Mrisho Gambo amemchukia vikali Mkurugenzi wa jiji la Arusha,Dr John Pima kwa kumweleza wazi kwamba mkakati wake wa kumdhoofisha ili wananchi wa Jimbo hilo wamchukie hatafanikiwa kwani yeye ametokana na changuo la wananchi.

Akiongea katika mkutano wa hadhara katika zoezi la utoaji wa mikopo ya asilimia 10 ya halmashauri ya jiji la Arusha Kwa vikundi vya ujasiriamani lililofanyika katika viwanja vya Kilombero ,Gambo alikerwa na mpango wa mkurugenzi huyo wa kutaka Mbunge huyo asialikwe katika zoezi hilo.

Gambo aliibuka ghafla katika hafla hiyo na baadaye kupata fursa ya kuongea ambapo alimchana Bila kupepesa macho mkurugenzi Pima , yaakimwambia kwamba yeye amechaguliwa na mtu mmoja na kwamba muda wowote anaweza kung'olewa.

"Kati yetu sisi tuliopo hapa mimi nimechaguliwa na wananchi baada ya kuniona nafaaa kuwawakilisha wakifuatiwa na madiwani tofauti na hapo wewe mkurugenzi umeteuliwa tu na mtu mmoja, mkuu wa mkoa mshauri mkurugenzi awe mtulivu hawezi kumkataa mbunge"alisema Gambo na kuongeza kuwa.

Wakati nachaguliwa na wananchi Pima alikuwa amelala ofisini lazima.atambue kwamba tulipata kura Kwa shida kulizunguka jimbo la Arusha sio kazi rahisi mwambie amheshimu mbunge.

Gambo alikerwa na mkakati wa Pima kutomwalika kwenye shughuli hiyo ya utoaji wa mikopo Kwa vikundi vya ujasiriamani.

Hata hivyo Gambo alimwaibisha Mkurugenzi huyo baada ya kuamua kutoa fedha zake kuwakopesa bila riba baadhi ya wananchi waliotoswa kupokea mkopo wa jiji la Arusha na kuahidi kuanza kutoa mkopo wa sh, 200,000 Kwa kila mtu aliyeko kwenye kikundi chenye watu 100 kuanzia Sasa.

Hata hivyo RC John Mongela alisema kuwa nikiwapatanisha maendeleo hayatakuja Bora msipatane ili maendeleo yapatikane.

Kwani Gambo aluchaguliwa na wananchi au kikosi maalum kiliiba kura kwa manufaa ya Ccm??
Mbunge wetu wa rohoni ni Lema..
 
Mbunge wa Arusha Mjini Mrisho Gambo amemchukia vikali Mkurugenzi wa jiji la Arusha,Dr John Pima kwa kumweleza wazi kwamba mkakati wake wa kumdhoofisha ili wananchi wa Jimbo hilo wamchukie hatafanikiwa kwani yeye ametokana na changuo la wananchi.

Akiongea katika mkutano wa hadhara katika zoezi la utoaji wa mikopo ya asilimia 10 ya halmashauri ya jiji la Arusha Kwa vikundi vya ujasiriamani lililofanyika katika viwanja vya Kilombero ,Gambo alikerwa na mpango wa mkurugenzi huyo wa kutaka Mbunge huyo asialikwe katika zoezi hilo.

Gambo aliibuka ghafla katika hafla hiyo na baadaye kupata fursa ya kuongea ambapo alimchana Bila kupepesa macho mkurugenzi Pima , yaakimwambia kwamba yeye amechaguliwa na mtu mmoja na kwamba muda wowote anaweza kung'olewa.

"Kati yetu sisi tuliopo hapa mimi nimechaguliwa na wananchi baada ya kuniona nafaaa kuwawakilisha wakifuatiwa na madiwani tofauti na hapo wewe mkurugenzi umeteuliwa tu na mtu mmoja, mkuu wa mkoa mshauri mkurugenzi awe mtulivu hawezi kumkataa mbunge"alisema Gambo na kuongeza kuwa.

Wakati nachaguliwa na wananchi Pima alikuwa amelala ofisini lazima.atambue kwamba tulipata kura Kwa shida kulizunguka jimbo la Arusha sio kazi rahisi mwambie amheshimu mbunge.

Gambo alikerwa na mkakati wa Pima kutomwalika kwenye shughuli hiyo ya utoaji wa mikopo Kwa vikundi vya ujasiriamani.

Hata hivyo Gambo alimwaibisha Mkurugenzi huyo baada ya kuamua kutoa fedha zake kuwakopesa bila riba baadhi ya wananchi waliotoswa kupokea mkopo wa jiji la Arusha na kuahidi kuanza kutoa mkopo wa sh, 200,000 Kwa kila mtu aliyeko kwenye kikundi chenye watu 100 kuanzia Sasa.

Hata hivyo RC John Mongela alisema kuwa nikiwapatanisha maendeleo hayatakuja Bora msipatane ili maendeleo yapatikane.

Laana ya uporaji inawatafuna
 
[emoji13][emoji13][emoji13]Ana nguvu gani Gambo wewe?? Chuki tu na uzushi. Huyu kila KIONGOZI hamtaki, amesahau hata huyo mkurugenzi alimpambania mpaka akawa hapo alipo[emoji13][emoji13], Ana nguvu yoyote kuzidi chama na serkali. Na assipojirekebisha ni one term mp, kamweleze. Nakwambia haya nikiwa kada kindakindakinwa CCM na mwananchi mbobevu wa Arusha na vitongoji vyake vyote. Yani mi Mzee wa chuga, mweleze huyo kijana atulie afanye KAZI, aache migongani na viongozi wenzake. Akae vizuri na Mongela, na Sophia hata na mkurugenzi. Mwambien taratibu akuelewe
😳🤣🤣

Kwa hiyo Gambo ni mwepesi Sana kisiasa?!!
 
[emoji13][emoji13][emoji13]Ana nguvu gani Gambo wewe?? Chuki tu na uzushi. Huyu kila KIONGOZI hamtaki, amesahau hata huyo mkurugenzi alimpambania mpaka akawa hapo alipo[emoji13][emoji13], Ana nguvu yoyote kuzidi chama na serkali. Na assipojirekebisha ni one term mp, kamweleze. Nakwambia haya nikiwa kada kindakindakinwa CCM na mwananchi mbobevu wa Arusha na vitongoji vyake vyote. Yani mi Mzee wa chuga, mweleze huyo kijana atulie afanye KAZI, aache migongani na viongozi wenzake. Akae vizuri na Mongela, na Sophia hata na mkurugenzi. Mwambien taratibu akuelewe
Ugonvi wa ndugu ngoja nichukue jembe nikalime
 
Mbunge wa Arusha Mjini Mrisho Gambo amemchukia vikali Mkurugenzi wa jiji la Arusha,Dr John Pima kwa kumweleza wazi kwamba mkakati wake wa kumdhoofisha ili wananchi wa Jimbo hilo wamchukie hatafanikiwa kwani yeye ametokana na changuo la wananchi.

Akiongea katika mkutano wa hadhara katika zoezi la utoaji wa mikopo ya asilimia 10 ya halmashauri ya jiji la Arusha Kwa vikundi vya ujasiriamani lililofanyika katika viwanja vya Kilombero ,Gambo alikerwa na mpango wa mkurugenzi huyo wa kutaka Mbunge huyo asialikwe katika zoezi hilo.

Gambo aliibuka ghafla katika hafla hiyo na baadaye kupata fursa ya kuongea ambapo alimchana Bila kupepesa macho mkurugenzi Pima , yaakimwambia kwamba yeye amechaguliwa na mtu mmoja na kwamba muda wowote anaweza kung'olewa.

"Kati yetu sisi tuliopo hapa mimi nimechaguliwa na wananchi baada ya kuniona nafaaa kuwawakilisha wakifuatiwa na madiwani tofauti na hapo wewe mkurugenzi umeteuliwa tu na mtu mmoja, mkuu wa mkoa mshauri mkurugenzi awe mtulivu hawezi kumkataa mbunge"alisema Gambo na kuongeza kuwa.

Wakati nachaguliwa na wananchi Pima alikuwa amelala ofisini lazima.atambue kwamba tulipata kura Kwa shida kulizunguka jimbo la Arusha sio kazi rahisi mwambie amheshimu mbunge.

Gambo alikerwa na mkakati wa Pima kutomwalika kwenye shughuli hiyo ya utoaji wa mikopo Kwa vikundi vya ujasiriamani.

Hata hivyo Gambo alimwaibisha Mkurugenzi huyo baada ya kuamua kutoa fedha zake kuwakopesa bila riba baadhi ya wananchi waliotoswa kupokea mkopo wa jiji la Arusha na kuahidi kuanza kutoa mkopo wa sh, 200,000 Kwa kila mtu aliyeko kwenye kikundi chenye watu 100 kuanzia Sasa.

Hata hivyo RC John Mongela alisema kuwa nikiwapatanisha maendeleo hayatakuja Bora msipatane ili maendeleo yapatikane.


gambo hajachaguliwa Arusha, alipachikwa tena ilikuwa alimanusura kuanzia kura za maoni ndani ya chama na mwishowe uchaguzi najisi 2020.
Asitake kujitutumua, kwanza ndio sura ya mwisho
 
Gambo anaanza kulikoroga baada ya kukorogewa. Hii tabia ya viongozi kukorogana hadharani ... Wajitafakari
 
Hakuna sehemu inasema mbunge lazima ualikwe kwenye huo mkutano, na wewe itisha wa kwako uongee na wananchi sio kulalalmika na kutoa mitusi isiyo na tija, halafu hata ubunge hukushinda mliiba kura wapuuzi nyie
 
Hivi hapo Arusha kuna nini mbona kama viongozi wote huwa wanavurugana tu! Au ni kile kidude cha Meru?
 
Gambo akae Kwa kutulia Ili apakatwe vizuri,yeye kipindi akiwa RC hapo alikua anamfanyia figisu Lema Leo analia Lia nini hapo?
Tena natamani huyo mkurugenzi abaki hapo mpaka 2025 uchaguzini tuone huyo kiherehere atabebwa Kwa mbeleko ya mkurugenzi Gani?

Shwain!
 
Uongo ni kipaji. Alichaguliwa na wananchi gani? Yeye alipokuwa RC mbona alitesa watu vibaya sana? Mbona aliwanyanyasa walio chini yake kwa kigezo cha yeye kuwasiliana na Rais moja kwa moja? Mbona aliweka checkpoint ili kuwajua wanaoenda kuwasilimia alioshiriki kuwaweka rumande? kwenye uongozi wake watu wameumizwa sana. Anyamaze tu. Malipo ni hapa hapa duniani.
 
Wananchi gani waliomchagua Gambo,?aache ujinga,aliyempachika hapo alishakufa kitambo,alichokuwa anamfanyia Lema kinamrudia atulie anyolewe
 
Mbunge wa Arusha Mjini Mrisho Gambo amemchukia vikali Mkurugenzi wa jiji la Arusha,Dr John Pima kwa kumweleza wazi kwamba mkakati wake wa kumdhoofisha ili wananchi wa Jimbo hilo wamchukie hatafanikiwa kwani yeye ametokana na changuo la wananchi.

Akiongea katika mkutano wa hadhara katika zoezi la utoaji wa mikopo ya asilimia 10 ya halmashauri ya jiji la Arusha Kwa vikundi vya ujasiriamani lililofanyika katika viwanja vya Kilombero ,Gambo alikerwa na mpango wa mkurugenzi huyo wa kutaka Mbunge huyo asialikwe katika zoezi hilo.

Gambo aliibuka ghafla katika hafla hiyo na baadaye kupata fursa ya kuongea ambapo alimchana Bila kupepesa macho mkurugenzi Pima , yaakimwambia kwamba yeye amechaguliwa na mtu mmoja na kwamba muda wowote anaweza kung'olewa.

"Kati yetu sisi tuliopo hapa mimi nimechaguliwa na wananchi baada ya kuniona nafaaa kuwawakilisha wakifuatiwa na madiwani tofauti na hapo wewe mkurugenzi umeteuliwa tu na mtu mmoja, mkuu wa mkoa mshauri mkurugenzi awe mtulivu hawezi kumkataa mbunge"alisema Gambo na kuongeza kuwa.

Wakati nachaguliwa na wananchi Pima alikuwa amelala ofisini lazima.atambue kwamba tulipata kura Kwa shida kulizunguka jimbo la Arusha sio kazi rahisi mwambie amheshimu mbunge.

Gambo alikerwa na mkakati wa Pima kutomwalika kwenye shughuli hiyo ya utoaji wa mikopo Kwa vikundi vya ujasiriamani.

Hata hivyo Gambo alimwaibisha Mkurugenzi huyo baada ya kuamua kutoa fedha zake kuwakopesa bila riba baadhi ya wananchi waliotoswa kupokea mkopo wa jiji la Arusha na kuahidi kuanza kutoa mkopo wa sh, 200,000 Kwa kila mtu aliyeko kwenye kikundi chenye watu 100 kuanzia Sasa.

Hata hivyo RC John Mongela alisema kuwa nikiwapatanisha maendeleo hayatakuja Bora msipatane ili maendeleo yapatikane.

Kwa hiyo alikuwa anamchamba Mkurugenzi?😝😝😝😝😝
 
Uongo ni kipaji. Alichaguliwa na wananchi gani? Yeye alipokuwa RC mbona alitesa watu vibaya sana? Mbona aliwanyanyasa walio chini yake kwa kigezo cha yeye kuwasiliana na Rais moja kwa moja? Mbona aliweka checkpoint ili kuwajua wanaoenda kuwasilimia alioshiriki kuwaweka rumande? kwenye uongozi wake watu wameumizwa sana. Anyamaze tu. Malipo ni hapa hapa duniani.
cc:mrishomgambo
 
Back
Top Bottom