WaarabuHuu utapeli ndio alikuwa anaufanya Manji Yanga, kila siku utasikia yeye ndio anaidai timu.
Fukuza Wahindi wote weka Waarabu hawanaga longolongo kwenye maswala ya pesa.
at least manji alikuwa ataki kuuziwa teamHuu utapeli ndio alikuwa anaufanya Manji Yanga, kila siku utasikia yeye ndio anaidai timu.
Fukuza Wahindi wote weka Waarabu hawanaga longolongo kwenye maswala ya pesa.
Mtegemea cha ndugu yake... Si mhindi si mwarabu... wooote ni wale wale. Ni wazee wa fursa. Pole mwafrika kwa kujiona huwezi kufanya lolote mpaka usaidiwe na ngozi ya kiarabu au kihindi au kizungu au kichina. Utumwa umetuachana majeraha mabaya sana.Huu utapeli ndio alikuwa anaufanya Manji Yanga, kila siku utasikia yeye ndio anaidai timu.
Fukuza Wahindi wote weka Waarabu hawanaga longolongo kwenye maswala ya pesa.
Nenda South Africa utapata majibu, mijitu myeusi inachojuwa ni wizi tu.Mtegemea cha ndugu yake... Si mhindi si mwarabu... wooote ni wale wale. Ni wazee wa fursa. Pole mwafrika kwa kujiona huwezi kufanya lolote mpaka usaidiwe na ngozi ya kiarabu au kihindi au kizungu au kichina. Utumwa umetuachana majeraha mabaya sana.
Kaduguda aliwahi kudai pesa zake za çhapatiMichicha si wangelima ata bustani asee
Tuliwambia tatizo la Simba siyo makocha ni uongozi na wachezaji ambao hawafundishiki, kocha Benchika ndiye alithibisha kwamba hawafundishiki"Fedha zote ambazo MO alikuwa anazitoa yaani za kununua mchicha, kununua kandambili boxer za wachezaji zozote zile ambazo ametoa kwenye Simba Sports Club anazidai, na ameelekeza zibadilishwe ndio ziwe mtaji wake ambao anatakiwa autoe Simba Sports Club."
"Kama tunakopeswa hizo hela kwani lazima tukope kwa MO? Taasisi za fedha si zipo nyingi tunaweza tukakopa? Kwanza kama ni mkopo haujafuata taratibu alikopa nani na kwanini walikopa, na mkopo huo unawekwa kwa ajili ya aseti ipi, hapa ukiondoa udhamini maana ana udhamini."
CPA Issa Masoud,Mjumbe wa Bodi Simba SC.
Nb: hakuna rangi mtaacha kuiona[emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 3012371
Asante kwa kuwa mkweli. Ila hata hawa waarabu na wahindi nao wana makandokando mengi.Nenda South Africa utapata majibu, mijitu myeusi inachojuwa ni wizi tu.
Makaburu mdodo mdogo wanarudishwa kutawala upya, na uchaguzi ujao ANC inapigwa chini watachaguliwa chama cha wazungu ndio watu wa maendeleo.
Tuliaminishwa wazungu ni watu wazima wabaya sana, haya waafrika toka tujiongoze kipi cha maana tumekifanya? Mfano S. AFRICA, umasikini ndio huo na upigaji tuNenda South Africa utapata majibu, mijitu myeusi inachojuwa ni wizi tu.
Makaburu mdodo mdogo wanarudishwa kutawala upya, na uchaguzi ujao ANC inapigwa chini watachaguliwa chama cha wazungu ndio watu wa maendeleo.
Lakini ukimsikiliza huyo jamaa nae ana hoja mpaka sasa kisheria Mo hajanunua hizo hisa ina maana hata katiba imepindishwa ili kumfavour Mo. Ujanja umekua mwingi sana tuliwahi kuoneshwa hundi ya 20B lakini mpaka sasa haijulikani imeingia kwenye akaunti gani. Pamoja na Mo kua mtu muhimu ila nae ni tatizo ana makando kando mengi na yeye ndo chanzo kikuu cha matatizo yote ya sasa ya simba kwa maana kama angefuata taratibu naamini kusingekua na huu mgawanyiko.Hao wakurugenzi upande wa wanachama wamejiwahi tu ilikutafuta huruma ya wanachama wasiwajibishwe Mo keshaondoka wajumbe wake hata hao wa wanachama nao waondoke hawana hoja ya maana za kuwa fanya wabaki wamefeli hakuna msafi humo Cadena kamaliza yote
Huyu jamaa mwenye CPA ya mchongo kaongea vitu vyepesi sana.
Kathibisha alichosema Cadena na Che Malone japokua Uchebe alishavisema Mapema. Bodi ya wakurugenzi Imejaa makanjanja na wapigaji kibarua kinataka kuota nyasi wanatafuta huruma ya wanachama