Kimeumana: Mo ameanza kudai Hadi pesa zilizonunua mchicha, ndala na boxer za wachezaji

Kimeumana: Mo ameanza kudai Hadi pesa zilizonunua mchicha, ndala na boxer za wachezaji

Ivi timu Ina miaka zaidi ya 80 inashindwq kujiendesha mpaka itegemee MTU mmoja

Imeshindwa kuwa na vitega uchumi vyake mpaka Leo

Mo Kama ana hela si angeanzisha timu yake angalau tuwe timu zenye ushindani kuliko ujanja ujanja anaufanya hapo

Wabongo nini ni tunaweza Sasa

Mashabiki na matangazo tu yangewekewa utaratibu mzuri timu ingeingiza mapato ya kutosha

Hizi akili zetu zikoje ,
Taasisi Ina miaka 80 inategemea MTU mmoja ambaye ana umri mdogo kuliko hata taasisi
Naona ni upuuzi kabisa
Wanachama wa Simba hawana maamuzi yoyote ndani timu

au nao ndo hawachangii hata Kadi wanasubiri Mo awalipie !! kelele tu

Sijui niite ni undondocha au ni nini ???
 
Huu utapeli ndio alikuwa anaufanya Manji Yanga, kila siku utasikia yeye ndio anaidai timu.

Fukuza Wahindi wote weka Waarabu hawanaga longolongo kwenye maswala ya pesa.
Simba wenyewe tu wangeenda kwa muwekezaji wa psg,ndio huyo huyo kwa Man city wangeenda na proposal nzuri angewekeza simba muarabu anapenda sn mpira hata kwa 25% or 30% angeweka
 
Ivi timu Ina miaka zaidi ya 80 inashindwq kujiendesha mpaka itegemee MTU mmoja

Imeshindwa kuwa na vitega uchumi vyake mpaka Leo

Mo Kama ana hela si angeanzisha timu yake angalau tuwe timu zenye ushindani kuliko ujanja ujanja anaufanya hapo

Wabongo nini ni tunaweza Sasa

Mashabiki na matangazo tu yangewekewa utaratibu mzuri timu ingeingiza mapato ya kutosha

Hizi akili zetu zikoje ,
Taasisi Ina miaka 80 inategemea MTU mmoja ambaye ana umri mdogo kuliko hata taasisi
Naona ni upuuzi kabisa
Wanachama wa Simba hawana maamuzi yoyote ndani timu

au nao ndo hawachangii hata Kadi wanasubiri Mo awalipie !! kelele tu

Sijui niite ni undondocha au ni nini ???
Ndo hvyo....Kuna upigaji
 
Ivi timu Ina miaka zaidi ya 80 inashindwq kujiendesha mpaka itegemee MTU mmoja

Imeshindwa kuwa na vitega uchumi vyake mpaka Leo

Mo Kama ana hela si angeanzisha timu yake angalau tuwe timu zenye ushindani kuliko ujanja ujanja anaufanya hapo

Wabongo nini ni tunaweza Sasa

Mashabiki na matangazo tu yangewekewa utaratibu mzuri timu ingeingiza mapato ya kutosha

Hizi akili zetu zikoje ,
Taasisi Ina miaka 80 inategemea MTU mmoja ambaye ana umri mdogo kuliko hata taasisi
Naona ni upuuzi kabisa
Wanachama wa Simba hawana maamuzi yoyote ndani timu

au nao ndo hawachangii hata Kadi wanasubiri Mo awalipie !! kelele tu

Sijui niite ni undondocha au ni nini ???
Huyo Mwamedi timu ya African Lyon ilikuwa yake ikamshinda, hapo Simba hayupo kwa ajili ya mapenzi kwa Simba bali ni plattform nzuri kwa biashara zake.
 
Yote kwa yote huyo CPA Issa Masoud mjumbe wa Bodi alikuwa wapi miaka yote mitatu wakati Simba inaharibikiwa mdogo mdogo mpaka mwaka huu imeingia ICU? Huyo na wajumbe wenzake wote wa bodi ni wa kufukuza kwani wameshindwa kutimiza wajibu wao kwa wakati. Walipaswa kurekebisha mambo mapema sio sasa hivi wanakuja hadharani kulalamika kama watu wa kawaida wakati wao walikuwa kwenye chombo cha maamuzi. Ni unafiki wa hali ya juu na kutafuta tu huruma kwa umma baada ya kuona mambo yanaenda kuwaharibikia na wao.
 
"Fedha zote ambazo MO alikuwa anazitoa yaani za kununua mchicha, kununua kandambili boxer za wachezaji zozote zile ambazo ametoa kwenye Simba Sports Club anazidai, na ameelekeza zibadilishwe ndio ziwe mtaji wake ambao anatakiwa autoe Simba Sports Club."

"Kama tunakopeswa hizo hela kwani lazima tukope kwa MO? Taasisi za fedha si zipo nyingi tunaweza tukakopa? Kwanza kama ni mkopo haujafuata taratibu alikopa nani na kwanini walikopa, na mkopo huo unawekwa kwa ajili ya aseti ipi, hapa ukiondoa udhamini maana ana udhamini."

CPA Issa Masoud,Mjumbe wa Bodi Simba SC.


Nb: hakuna rangi mtaacha kuiona[emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 3012371
Huyo siyo muwekezaji mwenye nia nzuri
 
Anaandika Mhe. Hamisi Kigwangwala

✍️ “Kama ni kudaiana tu, tena bila mikataba, basi na sisi wana @SimbaSCTanzania tunamdai mwekezaji pesa nyingi sana!”

“Tulimtaka aweke bilioni 20 kwenye account yetu ili tununue bonds, kumbe hakuweka! Kama angeweka tungenunua bonds za miaka 25, at a coupon rate of 15.95% tungepata faida ya bilioni 3.19 kila mwaka. Kwa miaka 7 aliyotuzubaisha bila mafanikio yoyote yale, tungevuna bilioni 22.33!

“Deni la pili: ni pesa alizotukosesha kutokana na ufadhili wa Azam - bilioni ngapi? Kwa mwaka ni bilioni 3. Kwa miaka 7 ni bilioni 21!

“Na yeye matangazo yake alikuwa analipia ufadhili kiasi gani?

“Tayari kwa haya mawili tu, tunamdai mwekezaji Glezabhai zaidi ya bilioni 43.33! Taja na wewe madeni mengine tunayomdai Glezabhai ili twende sawa!

“Halafu, Wajumbe wa Bodi waliokurupuka leo kutoka usingizini tuna jambo nao: watuambie walimpa Glezabhai mamlaka ya kumiliki timu yetu kwa msingi upi? Maana hakufuata prospectus ya mchakato wa transformation wa kampuni inavyotaka.

“Nimemuona Ndugu Issa akitumia Memorandum ya kampuni…how? Kama mchakato wa kulipia hisa haujakamilika hiyo document haina nguvu yoyote ile, ile bodi yao waliyokuwa wanakaa haina maana yoyote ile. Na wala Simba Sports Club haijauzwa na wala haidaiwi na mtu - kimsingi tumerudi GROUND ZERO!

“Ile bodi ilikuwa genge la watu walioiteka tu timu yetu kinyemela. Kwa taarifa za Ndg. Issa, maana yake Glezabhai hana haki wala mamlaka yoyote yale kisheria kwenye Simba. Simba SC ni club ya wanachama kwa asilimia 100.

“Wanachama tunamtaka Ndg. Mangungu aitishe mkutano mkuu haraka tuamue hatma ya club yetu. Kwenye mkutano huo aandae hesabu za mapato na matumizi ya Simba….kuanzia viingilio vya getini siku za mechi, mikataba ya mauzo ya bidhaa, mikataba ya mauzo ya haki za matangazo (ikiwemo ya bidhaa za Glezabhai, mbet nk), mapato ya CAF (robo fainali zote), n.k.

“Ndg. Mangungu na Kamati Tendaji wakishindwa kufanya hivi, tutaingilia kati kwa kuunda ‘kikosi kazi’ maalum (task force) cha kuiokoa club yetu.”
 
Yes they can km wanawekeza bandarini hawatashindwa mpirani any person anaweza wekeza as long as proposal ni nzuri and they trust it
Mkuu

Nilikuwa namaanisha hivi, Mo dewji ana biashara zake kawekeza simba hivyo pia anapata faida kupitia simba, Bakhresa kawekeza azam na kupitia Azam anapata faida pia vivyo hivyo kwa GSM.

ndio nauliza huyo tajiri wa PSG na MAN CITY anazo biashara zake hapa Tanzania? Kwa maana hata kule alipowekeza ana biashara anayotangaza kupitia timu hizo.

Uwekezaji wowote unahitaji faida au nakosea mkuu?
 
Mkuu

Nilikuwa namaanisha hivi, Mo dewji ana biashara zake kawekeza simba hivyo pia anapata faida kupitia simba, Bakhresa kawekeza azam na kupitia Azam anapata faida pia vivyo hivyo kwa GSM.

ndio nauliza huyo tajiri wa PSG na MAN CITY anazo biashara zake hapa Tanzania? Kwa maana hata kule alipowekeza ana biashara anayotangaza kupitia timu hizo.

Uwekezaji wowote unahitaji faida au nakosea mkuu?
Upo sahihi,tuna malighafi nyingi sn hapa tz ni jinsi utavyompatia proposal yako hapo ndio utofauti,wao wanatangaza mpk qatar airways yao,so sioni shida hilo likifanyia ukizingatia hawana timu Africa kwa sasa
 
Back
Top Bottom