Na huba likikolea hakuna kitu utasikia..Hata kukupost mara moja kwa mwaka hutaki? Mimi nisingefuta hiyo picha jamani. Kuna muda huba linakukolea, unatamani umtambulishe mwenzio kwa dunia nzima[emoji38][emoji38]
Tunawapost, wacha wanune[emoji38][emoji38][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126]Na huba likikolea hakuna kitu utasikia..
Ila ndiyo hivyo..Hawa Watoto wa Mama Mkwe Hawapendi kupostiwa..
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Tunawapost, wacha wanune[emoji38][emoji38][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126][emoji126]
Sasa unakuta mtu huna picha yako kwenye account halafu unajulikana bila kufahamu,unakuta marafiki zake wote wanakufahamu halafu wanakuchora huko mtaani ukisimama na mwanamke mwingine,unakuta taarifa zimeshafika unaniniwa huambiwi sababuHata kukupost mara moja kwa mwaka hutaki? Mimi nisingefuta hiyo picha jamani. Kuna muda huba linakukolea, unatamani umtambulishe mwenzio kwa dunia nzima[emoji38][emoji38]
Si aliambiwa ana ukimwi ndo mkae mjue ameolewa anapendwa na kuzaa amezaaa hahahhaaah InstagramaaaKuna huyu zamaradi pia....jamani
Ila tangu wameanza kuzungumzia huo ukimwi hadi leo itakuwa uwongo tuSi aliambiwa ana ukimwi ndo mkae mjue ameolewa anapendwa na kuzaa amezaaa hahahhaaah Instagramaaa
Sasa unakuta mtu huna picha yako kwenye account halafu unajulikana bila kufahamu,unakuta marafiki zake wote wanakufahamu halafu wanakuchora huko mtaani ukisimama na mwanamke mwingine,unakuta taarifa zimeshafika unaniniwa huambiwi sababu
Yule alitisha daah[emoji3][emoji3][emoji119][emoji119]Vipi yule wa Serekali ya CCM aliyemuwish mchepuko birthday kwa Account ya Wizara
Kupostiwa inategemea mtu na mtu ,kuna wanaume wengine wanaona poa tu,na pia sometimes kupostiwa ni kama kuonyesha kwamba haogopi uko peke yako ,Sasa uboya unapostiwa kumbe ni kuzuga tu watu wanapiga Kama kawaKwa hiyo hamtaki tuwapost, ili msijulikane, mchepuke kwa amani eeh? Tunaanza rasmi kampeni ya kuwapost[emoji34][emoji34]
Kupostiwa inategemea mtu na mtu ,kuna wanaume wengine wanaona poa tu,na pia sometimes kupostiwa ni kama kuonyesha kwamba haogopi uko peke yako ,Sasa uboya unapostiwa kumbe ni kuzuga tu watu wanapiga Kama kawa
Aiseeee ukweli mtupu [emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]Hawapendi kwasababu wana wanawake wengi inawaharibia
Ndo pagumu hivo heri kimya kimya , au hujakutana na dhahma unapost halafu mwingine anakuja kucoment baby wapi hiyo ....halafu we umelala na comment inatrend tuHahaha mabaharia wanaokumegea, wanacheka tu pembeni daah
Ndo pagumu hivo heri kimya kimya , au hujakutana na dhahma unapost halafu mwingine anakuja kucoment baby wapi hiyo ....halafu we umelala na comment inatrend tu
Zamani nilipost sana,ila tangu Magufuli aisee nimezifuta picha na sipost naingia tu kuona yanayoendelea,nadhani unavyokua na Mambo yanabadilika ule huyo Resty yeye ndo kama anaanza upya.Hahahahaah nashukuru Mungu nilipita hiyo phase salama daah
Zamani nilipost sana,ila tangu Magufuli aisee nimezifuta picha na sipost naingia tu kuona yanayoendelea,nadhani unavyokua na Mambo yanabadilika ule huyo Resty yeye ndo kama anaanza upya.
Upo best , long time sanaKwa kweli binamu. Wengine hawataki kupostiwa wanajua utawaharibia makoloni yao. Nakumbuka kuna rafiki yangu alimposti babe kwenye status; weee wacha jamaa awake eti ooh "nyumbani kwetu wakijua itakuwaje, ni familia ya dini sana". Best akamwambia huko home kwenu hakuna anayenijua wala kuwa na namba yangu. Basi muda sio mrefu best alifanikiwa kuwajua wake wenzie wengi tu teh
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji16]Wanaume walivyo malaya weee ni halali wasipende