Kimeumana Simba: Kagoma afuta Kila kitu kuhusu Simba mtandaoni

 
Laban, unamchango mdogo sana kwenye hili taifa!
Mahusiano ya simba na Kagoma ni ya kisheria, sio kihisia kama wasanii wanavyoachana na kudelete picha!
 
Laban, unamchango mdogo sana kwenye hili taifa!
Mahusiano ya simba na Kagoma ni ya kisheria, sio kihisia kama wasanii wanavyoachana na kudelete picha!
Mkuu...ukitaka watu wenye mchango mkubwa hapa jf Mimi wakwanza
 
We hata ukiamka usiku unaiona simba mbele yako...umejaza akili na mambo ya Simba simba...huna kazi nyingine za kufanya...
 
Ukiona mwanaume anashabikia mabaya ya upande fulani ujue huyo hata shetani ana nafuu..tulishazoea ss wadada mambo hayo ndo maana tuliwachonganisha na Mungu...hahaaa i
 
Ukiona mwanaume anashabikia mabaya ya upande fulani ujue huyo hata shetani ana nafuu..tulishazoea ss wadada mambo hayo ndo maana tuliwachonganisha na Mungu...hahaaa i
Kuna 50k lako Dada nicheki kuanzia tarehe 23 🤣🤣🤣

Kijamaa kina mambo ya Kishoga sio ya Kike tu
 
Kuna 50k lako Dada nicheki kuanzia tarehe 23 🤣🤣🤣

Kijamaa kina mambo ya Kishoga sio ya Kike tu
Mbona trh 23 jamani isiwe leo..hahahah natania bana..
Yani huyo anasubiria negative ya Simba chapuu kuanzisha uzi...
 
Tunajua wapo wawili tu hatushangai
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…