Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna wa kuipiga labda azam,tabora united na wasudan hao algers wataipapasa tu!Yanga ipigwe na Nan tena
Katika hali ya kushangaza kiungo wa klabu ya Simba SC Yusuph Kagoma amefuta picha zake zote akiwa na klabu yake, pamoja na utambulisho wake Kama mchezaji wa Simba SC katika Mtandao wa Instagram (BIO).
Ikumbukwe @kagoma_21 alikuwa akiuguza majeraha ambayo yalimuweka nje ya uwanja katika michezo kadhaa ambayo klabu ya Simba wamecheza.
Pia kiungo huyo hajasafiri na timu ya Simba siku ya Leo kuelekea nchini Algeria kwenye mchezo wa pili wa Simba hatua ya makundi Kombe la Shirikisho dhidi ya CS Constantine.
#FutbalPlanetUpdates
Unaambiwa huko ukoloni ......moto juu ya moto ......yajayo yanatisha View attachment 3168873
Laban, unamchango mdogo sana kwenye hili taifa!Katika hali ya kushangaza kiungo wa klabu ya Simba SC Yusuph Kagoma amefuta picha zake zote akiwa na klabu yake, pamoja na utambulisho wake Kama mchezaji wa Simba SC katika Mtandao wa Instagram (BIO).
Ikumbukwe @kagoma_21 alikuwa akiuguza majeraha ambayo yalimuweka nje ya uwanja katika michezo kadhaa ambayo klabu ya Simba wamecheza.
Pia kiungo huyo hajasafiri na timu ya Simba siku ya Leo kuelekea nchini Algeria kwenye mchezo wa pili wa Simba hatua ya makundi Kombe la Shirikisho dhidi ya CS Constantine.
#FutbalPlanetUpdates
Unaambiwa huko ukoloni ......moto juu ya moto ......yajayo yanatisha View attachment 3168873
We hata ukiamka usiku unaiona simba mbele yako...umejaza akili na mambo ya Simba simba...huna kazi nyingine za kufanya...Katika hali ya kushangaza kiungo wa klabu ya Simba SC Yusuph Kagoma amefuta picha zake zote akiwa na klabu yake, pamoja na utambulisho wake Kama mchezaji wa Simba SC katika Mtandao wa Instagram (BIO).
Ikumbukwe @kagoma_21 alikuwa akiuguza majeraha ambayo yalimuweka nje ya uwanja katika michezo kadhaa ambayo klabu ya Simba wamecheza.
Pia kiungo huyo hajasafiri na timu ya Simba siku ya Leo kuelekea nchini Algeria kwenye mchezo wa pili wa Simba hatua ya makundi Kombe la Shirikisho dhidi ya CS Constantine.
#FutbalPlanetUpdates
Unaambiwa huko ukoloni ......moto juu ya moto ......yajayo yanatisha View attachment 3168873
Kuna 50k lako Dada nicheki kuanzia tarehe 23 🤣🤣🤣Ukiona mwanaume anashabikia mabaya ya upande fulani ujue huyo hata shetani ana nafuu..tulishazoea ss wadada mambo hayo ndo maana tuliwachonganisha na Mungu...hahaaa i
Mbona trh 23 jamani isiwe leo..hahahah natania bana..Kuna 50k lako Dada nicheki kuanzia tarehe 23 🤣🤣🤣
Kijamaa kina mambo ya Kishoga sio ya Kike tu
Tunajua wapo wawili tu hatushangaiKatika hali ya kushangaza kiungo wa klabu ya Simba SC Yusuph Kagoma amefuta picha zake zote akiwa na klabu yake, pamoja na utambulisho wake Kama mchezaji wa Simba SC katika Mtandao wa Instagram (BIO).
Ikumbukwe @kagoma_21 alikuwa akiuguza majeraha ambayo yalimuweka nje ya uwanja katika michezo kadhaa ambayo klabu ya Simba wamecheza.
Pia kiungo huyo hajasafiri na timu ya Simba siku ya Leo kuelekea nchini Algeria kwenye mchezo wa pili wa Simba hatua ya makundi Kombe la Shirikisho dhidi ya CS Constantine.
#FutbalPlanetUpdates
Unaambiwa huko ukoloni ......moto juu ya moto ......yajayo yanatisha View attachment 3168873