Kimeumana Vanilla Njombe: Ni utapeli mtupu


Hao ni Deci wamekuja kivingine, sema watanzania ni wasahaulifu.
 
Haooo jamaa uliowatajaa ni shida tupuu Mkuuu

Sent from my SM-A260F using JamiiForums mobile app
Hayo majizi na kitaasisi Chao uchwara huwalaghai watoto wengi wanaoingia chuo,maboom yao huishia kutapeliwa Kwa sababu ya tamaa za kutaka kudouble pesa wapate nyingi maana Hao kenge wanapotoa motivation speaker utajisemea pesa si ndio hii aiseee
Ukishatoa tu pesa jiandae kupigwa na kitu kizito kichwani!
 
Dakika ya 12.52 afande anasema kuna "maromanzi". Hivi hicho kitu "maromanzi" ni kitu gani?
 
Kilimo cha ukweli kinacholipa maradufu na kwa haraka ni kilimo cha Bangi ila lazima uisome PGO yote uelewe haki zako za msingi unapokuwa chini ya mikono salama ya serikali kabla ya kushika jembe[emoji205]
Kweli wewe ni cannabis sativa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kilimo cha ukweli kinacholipa maradufu na kwa haraka ni kilimo cha Bangi ila lazima uisome PGO yote uelewe haki zako za msingi unapokuwa chini ya mikono salama ya serikali kabla ya kushika jembe[emoji205]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wewe ni mgeni labda vanilla inalipa Ina pesa ndefu hata kabla ya ujio wa hamasa hii.
Uliza kagera.
Madagascar mashamba ya vanilla yanalindwa na bunduki ndo ujue pesa ipo.
Ilikuwa ni jukumu la serikali kuwaunganisha wakulima na masoko.
Kagera na Madagascar ipi Acha uongo wewe hata Kula hujala unadanganya wenzako
 
Kuna hawa jamaa wanajiita JATU. Kauli mbiu yao ni "Anza na ekari moja"

Mwenye kuwafahamu zaidi atupe msaada.
 
Mkuu umemaliza
 
Naunga hoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…