Bondpost
JF-Expert Member
- Oct 16, 2011
- 7,019
- 10,455
Na parachichi ni hukohuko Njombe sijui Kuna ninišKamati Ya Bunge Nayo Ilikwenda Huko Njombe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na parachichi ni hukohuko Njombe sijui Kuna ninišKamati Ya Bunge Nayo Ilikwenda Huko Njombe
Hivi hapa tatizo ni nini!? Watu hawaamini kuwa vanilla inauzwa kwa bei ya juu sana duniani au ni hiyo 850,000/= kwa kilo! Hamuelewi nini - 850,000/= au milioni moja au kilo moja yaani one kilogram au 1000 grams!? Ni kipi akili zenu kinashindwa to comprehend hapo!?Wewe unaleta Utani!
Ingia google search andika Vanila Industries Tanzania...
Utapata Kiwanda cha Vanila ambacho kipo Moshi,Wasiliana nao Uulize bei Utapata majibu,
Kinaitwa Natural extractive industries, just Google...
Nime google Vanila Industries Tanzania.
Ulixa wakulima pia
Masama,Mbweera na Uswaa Mamba Kuna Vanilla na mnunuzi ni Mei Kwa Kilo 20000
Hapa wengine wanaongea tu kisa uzi upo jamvini.Sio kweli...na kiwanda kipo huko huko Moshi
Njombe wamebarikiwa kuwa na ardhi mzuri sana na watu wake ni wakulima na wachapa kazi haswaaNa parachichi ni hukohuko Njombe sijui Kuna nini[emoji2]
Kama almasi ni milioni kadhaa haimaanishi na mimi nitakupa guarantee ya kununua kwa bei hio ukizingatia na mimi ni muuzaji sio mnunuzi wa mwisho na ninanunua quantity kubwa...Mkuu katika soko la mataifa hiyo ndio bei yake ila mpaka ifike huku Ulaya
Mimi binafsi nanunua ya Madagascar Na bei zake ziko juu sana ila kama ukiangalia wanaouza kwenye mitandao ndio bei zake hizo 1m
View attachment 1982729
Inawezekana wewe Uko Sahihi Mkuu[emoji3516]
Mi uki google tuu nakubali sio maneno matupu
Ni milioni au elfu au shilingi ngapi kwa KILO, mbona hamuitaji hiyo bei au hamuijui mna semasema tu na ku quote mambo ambayo mtu hakusema. Unajua uongo uukirudiwa rudiwa au kusemwa semwa na bila kukanushwa kwa FACTS, wachache wasiojua ukweli wataamini UONGO HUO! Kwa lugha ya kidplomasia hiyo inaitwa PROPAGANDA.Kama umewekeza huko nenda kwa RPC, hayo sio maneno yangu ni maneno ya DC.
Pole mkuu kwa yote. Kagera na Hai wanalima Vanilla miaka yote ila sio milioni moja kwa kilo.
Kongole kwa ushauri mzuri sana.Usikubali kuwekeza popote kama fursa inayotangazwa kampuni haijasajiliwa soko la hisa
Waulize tu mumesajiliwa soko la hisa ili niwekeze hisa zangu?
Wengi wametapeliwa mara sijui wekeza kwenye kuku,vanilla sijui shamba umwaligiliaji rufiji nk usiwekeze kwenye kampuni inayojitangaza tu isiyokuwa soko la hisa .ukisikia wekeza shilingi hizi utavuna mara kumi uliza tu mumesajiliwa soko la hisa? wakisema hapana achana nao
UK POUNDS 360.00 ni sawa na Tsh.1,080,000/= kwa kutumia exchange rate ya sh.3000/= kwa UK POUND MOJA!Mkuu katika soko la mataifa hiyo ndio bei yake ila mpaka ifike huku Ulaya
Mimi binafsi nanunua ya Madagascar Na bei zake ziko juu sana ila kama ukiangalia wanaouza kwenye mitandao ndio bei zake hizo 1m
View attachment 1982729
Kama almasi ni milioni kadhaa haimaanishi na mimi nitakupa guarantee ya kununua kwa bei hio ukizingatia na mimi ni muuzaji sio mnunuzi wa mwisho na ninanunua quantity kubwa...
Issue yangu ya mimi na hao wadau ni kwanini wasianze kununua sasa hivi hata kwa pesa pungufu ya hapo ili wawauzie kina nyie? (Yaani wakati tunapanda na kupalilia tunauza) sio tungoje tuvune ndio tuanze kuuza wakati kuna mzigo upo tayari.
Kumbe ukiacha ubavicha wako Huwa unaongea pointniliona hapa kuna mtu anarudia sana kuweka tangazo la kuuza Vanilla nikajua tu na hii ni changa la macho kama lile swala la ufugaji wa kware.
Na Gaidi Mwenyekigoda asiyejulikana ni mwana CHAGGA DEV................ au CHADEMA ikikupendeza! Au siyo?!Gaidi anayejulikana ni Hamza mwana ccm
Tatizo lako unavutia bangi chooni kwa shemeji yakoNa Gaidi Mwenyekigoda asiyejulikana ni mwana CHAGGA DEV................ au CHADEMA ikikupendeza! Au siyo?!
Kama kuna kenge mmoja alikuja kunitembelea shambani kwangu nafuga kuku wa mayai akananimbia fuga na sungura ,eti sungura mmoja anauzwa mpaka 60000 na soko lake ni kubwa wakati mimi mwenyewe na utu uzima wangu sijawaai kula sungura ,nikasema inamaana sungura ana bei sawa au zaidi ya mbuzi niakona huu ni utapeli pale tu aliponiambia aniuzie vifaranga vya sungura.
UK POUNDS 360.00 ni sawa na Tsh.1,080,000/= kwa kutumia exchange rate ya sh.3000/= kwa UK POUND MOJA!
unawashwa kinyeo wewe.Kumbe ukiacha ubavicha wako Huwa unaongea point
AiseeeeBinafsi nilimpigia huyo jamaa wa Vanila international nikamwambia kuwa nina tani moja ya vanila nimpeleekee .
Akanijibu kuwa kwa sasa hashughulikii na ununuzi na hawajaanza kununua ndiyo nikajua kuwa ni matapeli.
Vanilla ni SAwa na opium ya mexico inalindwa na bunduki.Karagwe wameamua kuachana nayo kwasbabu waganda wanakuja na AK 47 na mabomu ya kurusha kwa mkono ili kuiba vanilla shambani kwa mkulima....ukiona mnyambo kanyoosha mikono (naturally jamii ya hawa watu huwa hawashindwi) ujue vanilla siyo!