Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hela yote walizouza jezi msimu huu wakamalizie madeni ya Djuma na Bangala,gsm hawezi kukubali.Na kama ni kweli ni ngumu kumaliza documentation ndani ya siku 3 zilizobaki ,ni aibu sana wanashindwa hata na Biashara United kwa umakini
Wasisingizie ITC kuchelewa ,Kama ni usajili wamemaliza mapema ,Kama Shaban Djuma ndo usajili wa kwanza ,hapa ni kwamba wamesajili ila vilabu walikotoka wanataka chao ili watoe vibali,Yanga wana historia ya kudhulumu wachezaji sasa hivi hamna anayewaamini ni cash tu hamna mkopo.Hela yote walizouza jezi msimu huu wakamalizie madeni ya Djuma na Bangala,gsm hawezi kukubali.
Jiandae kisaikolojia,si rahisi kihivyo na ukumbuke Yanga ni timu kubwa ina CEO wa kimataifa na matajiri wanaojielewa siyo wale wanaodanga na jushi da mitandaoni.Bingwa wa hamasa Duniani H.Manara anazungumza na wanahabari leo jumatano,saa 6 mchana.Stay tuned
hayaa ndo madhara ya miamala ya songesha
Inamaanisha yanga walikopa songesha[emoji38][emoji38][emoji38]
Fuatilia wanavyo hangaika eti wanatetea ubingwa wao walioupotezaYanick Bangala Litombo,Shaban Djuma,Khalid Aucho CAFCL watachoma mahindi.hii ndo maana ya Yanga kuitwa manyani f.c.
Fuatilia sasa hivi wanavyohangaika. Manara baada ya kugundua ni njaa inamsumbua hata aongee vipi hakuna jipya.Picha za shaaban Djuma za usajili zimevuja kuanzia mwezi wa 6 ,huu mwezi wa 9 Kama siyo uzembe ni nini,wanahangaika na simba na bla bla za manara Hadi wanajisahau
umesahau kumweka mama jJiandae kisaikolojia,si rahisi kihivyo na ukumbuke Yanga ni timu kubwa ina CEO wa kimataifa na matajiri wanaojielewa siyo wale wanaodanga na jushi da mitandaoni.Bingwa wa hamasa Duniani H.Manara anazungumza na wanahabari leo jumatano,saa 6 mchana.Stay tuned
Sasa manara ataongea nini kipya ?Sasa hivi hata Press yake imesuswa wanajua hana jipyaFuatilia sasa hivi wanavyohangaika. Manara baada ya kugundua ni njaa inamsumbua hata aongee vipi hakuna jipya.
Sindio huo mkopo kwamaana nyingine ni rejesho la mkopoNyie mikia si tulikubaliana wachezaji wanaotoka as vita ni wa mkopo!pesa gani tena jamani inayodaiwa Yanga!? 🤷♂️
Mnatapatapa mikia,hamjui hata mshike lipiSindio huo mkopo kwamaana nyingine ni rejeaho la mkopo
Ni wewe kumbePicha za shaaban Djuma za usajili zimevuja kuanzia mwezi wa 6 ,huu mwezi wa 9 Kama siyo uzembe ni nini,wanahangaika na simba na bla bla za manara Hadi wanajisahau
Siyo mimi mkuu ,usijisumbue huko hata huyo siyo mimiNi wewe kumbeView attachment 1929122