Kimueumana: Djuma na Aucho out Yanga

Kimueumana: Djuma na Aucho out Yanga

Picha za shaaban Djuma za usajili zimevuja kuanzia mwezi wa 6 ,huu mwezi wa 9 Kama siyo uzembe ni nini,wanahangaika na simba na bla bla za manara Hadi wanajisahau
Hii comment nimeiona twiter kwa privadinyo
 
Jiandae kisaikolojia,si rahisi kihivyo na ukumbuke Yanga ni timu kubwa ina CEO wa kimataifa na matajiri wanaojielewa siyo wale wanaodanga na jushi da mitandaoni.Bingwa wa hamasa Duniani H.Manara anazungumza na wanahabari leo jumatano,saa 6 mchana.Stay tuned

Unamsikiliza lakini “Bingwa wa hamasa” anasema hivi “Aucho ana mgogoro na team yake” sasa ulichokuwa unambishia mleta Thread kiko wapi!
 
Hiyo ni mind game tu wakuu, subirini Jumapili muone wakicheza Djuma na Aucho
 
  • Thanks
Reactions: mmh
Djuma na Mayele mikataba yao ilikuwa inaisha August 31, ambapo dilisha la CAF lilikuwa linafungwa siku hiyo hiyo. Kwa vyovyote vile Yanga walikuwa wanalijua hili kwamba hawa jamaa uwezekano wa kucheza Ligi ya mabingwa hasa mechi za mwanzoni ungekuwa mdogo. As Vita wasingeweza kutoa ATC kabla mikataba ya wachezaji kuisha... Huu ni uzembe umefanywa na viongozi wa Yanga.
 
Mambo ni Kama hivi
Screenshot_20210908-134120.jpg
 
demigod Insigne sisi kama uto tunataka press ya mo juu ya matangazo yake kwenye jezi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Usijali mkuu, The return of champions Jumapili wale Wanigeria wanapigwa nyingi sana

Halafu hiyo ni mind game tu, utashuhudia hiyo j pili hao wachezaji wanakichafua pale kwa mkpa

Jiulize kuhusu Moloko na Bangala, hawa ndo wachezaji wa mwisho kusajiliwa na kwanini ITC zao zimekuja mapema wakati Mayele na Djuma na Aucho waliosajiliwa mwanzo ITC zao ndo zichelewe

Big mind ndo wataelewa hii issue
 
Usijali mkuu, The return of champions Jumapili wale Wanigeria wanapigwa nyingi sana

Halafu hiyo ni mind game tu, utashuhudia hiyo j pili hao wachezaji wanakichafua pale kwa mkpa

Jiulize kuhusu Moloko na Bangala, hawa ndo wachezaji wa mwisho kusajiliwa na kwanini ITC zao zimekuja mapema wakati Mayele na Djuma na Aucho waliosajiliwa mwanzo ITC zao ndo zichelewe

Big mind ndo wataelewa hii issue
eti big mind
daaah
 
View attachment 1929129

Huenda Djuma Shabani na Aucho wasiwe sehemu ya kikosi Cha Yanga kitakochokikabiri Rivers United wikiend hii baada ya kuenea kwa taarifa kuwa CAF wamewapa taarifa hiyo Yanga, kufuatia timu zao za zamani kuchelewesha kutuma hati yake ya uhamisho (ITC ).

Imeelezwa ITC zimechelewa kutumwa kutokana na Yanga kutokamilisha malipo ya ada ya usajili.

Sio maneno yangu ni maneno ya Mchumia Tumbo
Teh teh hawa jamaa ni mapimbi tena yaliyotukuka yaani kutwa wanahangaika na Simba iliyokamili kila sekta wakati wao mlango upo wazi na viongozi wa Yanga wameshajua mashabiki wa hii timu ni watu wa upepo wakiletewa Koffi Olomide na wakata viuno wa Kongo kwenye timu watasahau kila kitu sasa angalia wameshapigwa na kitu kizito wafwaaaaaaaaah
 
Back
Top Bottom