Kimuhemuhe cha Harusi Chaua

Kimuhemuhe cha Harusi Chaua

Write your reply...Mimi mwenyewe nasubir haka ka bajeti wanakopanga upande wa baba mkwe wangu na michango kadhaa inayohusu harusi maana wameamua kugharamia kila kitu baada ya Mimi kuwa sina kitu wamenipa ka usimamizi mkuu hivo lazima nikimbie na hzo hela kabinti kao kenyewe sikapendi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
pole yao na iwe fundisho kwa wengine maana wapo wengi wa aina yao, mtu anafanya harusi ya kifahari alafu baada ya hapo anakufa na madeni ya watu. Hakuna haja ya kuuaminisha ulimwengu kuwa una uwezo wa kifedha kwa fedha za mikopo.
 
Back
Top Bottom