Kimuonekano huyu anafanana na member gani hapa jf... Weka jina li mdada unaetaka kumfahamu nikupe picha yake..

Kimuonekano huyu anafanana na member gani hapa jf... Weka jina li mdada unaetaka kumfahamu nikupe picha yake..

537961_576381905714539_1147213011_n.jpg

Dooh. ...... ndo mambo ya Abu Dhabi hayaaa...... yaaallaaah. ...... ngoja nikavae dera kisha nirudi .....
 
Compact and Jambazi

Haya huyo ndo Kasie akiwa bado kigori enzi hizooo nafanya kazi kwa baba Taibally pale Upanga.
Angalizo: sasa hivi Kasie hafanani na hivo hata kidogo, huyo ni Kasie akiwa bado mdada.

 

Jamani Wadau kila siku nataka kusahau kuwaulizeni hivi huyu Member miss chagga kapotelea wapi? Isije ikawa ile mifuko ya Sandarusi iliyoonekana Mkoani Mara ikielea Ziwani na huu wa juzi hapa Coco Beach labda ndiyo Yeye halafu Sisi Wadau hatujui humu. Tafadhali mwenye taarifa zake kamili hebu basi atiririke na aserereke nazo ili nasi tuweze kufahamu alipo Member mwenzetu muhimu na Kipenzi cha wengi kabisa humu Jamvini JamiiForums.
 
Compact and Jambazi

Haya huyo ndo Kasie akiwa bado kigori enzi hizooo nafanya kazi kwa baba Taibally pale Upanga.
Angalizo: sasa hivi Kasie hafanani na hivo hata kidogo, huyo ni Kasie akiwa bado mdada.


Kwamauno hayo yamwisho alafu dyudyu inakuwa ndani yake dah raha sana aisee wazungu hawakawii
 
Back
Top Bottom