Kimuonekano umefanana na mtu gani mashuhuri?

Kimuonekano umefanana na mtu gani mashuhuri?

Mimi huyo
IMG_20220810_183920.jpg
 
"Kila nyimbo kapuni wanatamani waache muziki wakaimbe bongo movie wanadhani bongo movie watapata mavumba wamesahau kuna vichwa kama Rey na Kanumba "

RIP Godzilla
 
Wakuu habari,

Nimekaa nikawaza humu JF wengi tunatumia majina na profile pic zisizo halisi. Lakini nikawaza pia tunaweza kufanana na watu fulani mashuhuri kama wanasiasa, wana michezo, wanamuziki n.k

Ebu tuambie na wEwE unafanana na mtu gani mashuhuri hapa duniani, binafsi mm nafanana sana na mwanamuziki Mmarekani anajulikana kwa jina la Clifford Joseph Harris maarufu kama TI.

Kama unamjua pia member mwenzako anafanana na mtu gan mashuhuri ebu tuambie huenda tunaweza kufahamiana kwa kufananishana.

View attachment 2306735
Nmemfanania idi amin dadaaa kama pacha wake vile🤣😅
 
Back
Top Bottom