Makiwendo
JF-Expert Member
- Aug 12, 2015
- 9,980
- 34,404
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]na mama yangu star.
avatar yangu nayo star
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]na mama yangu star.
avatar yangu nayo star
hahahahaha[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nmefanana na Lisa wa Rapcha[emoji4][emoji4]Wakuu habari,
Nimekaa nikawaza humu JF wengi tunatumia majina na profile pic zisizo halisi. Lakini nikawaza pia tunaweza kufanana na watu fulani mashuhuri kama wanasiasa, wana michezo, wanamuziki n.k
Ebu tuambie na wEwE unafanana na mtu gani mashuhuri hapa duniani, binafsi mm nafanana sana na mwanamuziki Mmarekani anajulikana kwa jina la Clifford Joseph Harris maarufu kama TI.
Kama unamjua pia member mwenzako anafanana na mtu gan mashuhuri ebu tuambie huenda tunaweza kufahamiana kwa kufananishana.
View attachment 2306735
Sanaaaaaa😂😂😂Nimekuja gundua Nikki Minaj ni bonge la pisi Kali sana
Yule fala anaembato namuonea gere
Likwise utakua mke wa mtoa mada the man himself genius
Ndio ndio mzee 😂Likwise utakua mke wa mtoa mada the man himself genius
Unamfahamu Jim Iyke wa Nollywood?! Basi ukimwona huyo ni sawa na umeniona mimiNdio ndio mzee [emoji23]
Mie upastor nitauwezaje jamani. Masister sii watakomaNamfananisha na mzabzab [emoji4]View attachment 2309309
Naona Watu wa Kitengo ( SSIT ) Makao Makuu Oysterbay mnataka sasa Kujiridhisha na JF Members mnaowatafuta, wahisi na hata Wengine kuwa na Picha zao tayari.Wakuu habari,
Nimekaa nikawaza humu JF wengi tunatumia majina na profile pic zisizo halisi. Lakini nikawaza pia tunaweza kufanana na watu fulani mashuhuri kama wanasiasa, wana michezo, wanamuziki n.k
Ebu tuambie na wEwE unafanana na mtu gani mashuhuri hapa duniani, binafsi mm nafanana sana na mwanamuziki Mmarekani anajulikana kwa jina la Clifford Joseph Harris maarufu kama TI.
Kama unamjua pia member mwenzako anafanana na mtu gan mashuhuri ebu tuambie huenda tunaweza kufahamiana kwa kufananishana.
View attachment 2306735
[emoji8][emoji8][emoji8]Hahahaaa!!
Pacha wake eti. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kweli kabisaaa!! Wee Bongo bahati mbaya shosss!!
Hapo wote sasa sio mashoga, wanawachota akili wa Africa ili wawa win. Wazungu kwa propaganda wako vuzuri.huwa sipendi kujifananisha muonekano wangu na celebrities/watu mashuhuri kwasababu kitabia huwa hawaeleki.
unaweza kushangaa baada ya mda fulani mtu ambaye unamchukulia kama rolemode wako, anajitangaza yeye ni shoga.
rejea ile issue ya michael scofield wa series ya prison break au anderson cooper wa cnn.
huyu anderson cooper wakati nikiwa chuo kabla hajajitangaza yeye ni shoga, nilikuwa namu admire sana. akanifanya na mimi nitamani kuwa mtangazaji wa tv siku moja.