Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,133
- 26,766
Nafanana na poldpole
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣 Kwa jinsi ilivyo ya kipekee. Sioni hata wa kukufananisha naye."Mimi niko na sura yangu personal " 😂
Sura yangu huwa inategemea nilivyoamka na hali ya mfuko wangu kwa wakati husika, kuna kipindi nafanan na tupac, kuna kipindi arifu ni kama masudi sura mbaya😂
Joan S hebu nisaidie nafanana na nani? 😂
Nadhani hivyo...Alikufaga kwa ajali sijui.
Mimi ndugu zangu marehemu remmy ongala, masoud sura mbaya, nahisi harmorapa anaweza akawa ukoo wetu,sura inakuja kuja ila shida akili yake haifanani na watu wa ukoo wetu. 😂🤣🤣🤣 Kwa jinsi ilivyo ya kipekee. Sioni hata wa kukufananisha naye.
Steve Simpo boy....View attachment 2307223
Watu wengi wanasema nimefanana na huyu msanii nguli wa kenya wanasema nina sura ya kipekee na tabasamu safi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mmmmmmmmh
[emoji1787]Yani Ukiniona Mimi ni Jiwe Mtupuu haswa Ile Ndonga
Hili dai bila picha, ni batili 😆Mimi ndugu zangu marehemu remmy ongala, masoud sura mbaya, nahisi harmorapa anaweza akawa ukoo wetu,sura inakuja kuja ila shida akili yake haifanani na watu wa ukoo wetu.
Picha ndio tatizo, ila naomba niaminiwe tu, tusogee mahakamani niape. 😂Hili dai bila picha, ni batili 😆
Hata najulia wapi mimi🤣🤣🤣🤣[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hivi huyo si marehemu kitambo?
Ahahah mahakamani lazimaPicha ndio tatizo, ila naomba niaminiwe tu, tusogee mahakamani niape. [emoji23]