Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
.Wakuu habari,
Nimekaa nikawaza humu JF wengi tunatumia majina na profile pic zisizo halisi. Lakini nikawaza pia tunaweza kufanana na watu fulani mashuhuri kama wanasiasa, wana michezo, wanamuziki n.k
Ebu tuambie na wEwE unafanana na mtu gani mashuhuri hapa duniani, binafsi mm nafanana sana na mwanamuziki Mmarekani anajulikana kwa jina la Clifford Joseph Harris maarufu kama TI.
Kama unamjua pia member mwenzako anafanana na mtu gan mashuhuri ebu tuambie huenda tunaweza kufahamiana kwa kufananishana.
View attachment 2306735
Itakuwa best nasoSijui nafanana na yupi haswa kila mmoja ananfanansha na mtu wake
Hakuna kitu hujafa hujaumbika watu wote hubadilika bila kujali haliTutafute pesa wakuu,,hivi mnajua nasibu wa mwaka 2008 na diamond wa 2022 hata hawafanani[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mke wa Kagame wee, yaan kopi na raitiBila picha huu uzi ni batili
Remmy ongala mzee wa wemaa....Itakuwa best naso
Wema kmnyokooRemmy ongala mzee wa wemaa....
Swadaktaa wa swadaktaaWema kmnyokoo
Hahahaaa!!Mke wa Kagame wee, yaan kopi na raiti
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]