Kimuonekano umefanana na mtu gani mashuhuri?

Kimuonekano umefanana na mtu gani mashuhuri?

Vijana wenye kiherehere kama wewe ni wale watoa jicho.
Nikifana na Waisira wewe inakuhusu nini?
Acha kiherehere
mkuu mbn umepanick
kwanza sina kiherehere, pili sitoi jicho, tatu na mwisho nashukuru kufahamu kwamba umefanana na wasira
 
Karim Mandonga .Mandonga mtu kazi.
 

Attachments

  • Screenshot_20220728-174017.jpg
    Screenshot_20220728-174017.jpg
    27.5 KB · Views: 13
Back
Top Bottom