Elections 2010 Kimya cha CHADEMA kikubwa

Elections 2010 Kimya cha CHADEMA kikubwa

mhh!!! atakuwa amejiandaa but huyu akigombea hata wanaCCM watampa maana ana nguvu kuliko huyo JK
Sala kubwa ya Chadema iwe ni CCJ isisajiliwe ndipo Chadema wampate, ila wakibahatika kumpata, JK atakuwa ana kibarua kigumu!.
 
mhh!!! nadhani atakuwa amejimaliza kisiasa maana CCM kwa smear campaign tu mwisho sijui labda atakuwa amejiandaa but huyu akigombea hata wanaCCM watampa maana ana nguvu kuliko huyo JK

CCM hawako hivyo unavyofikiria. Hawampi mtu kura kama nafasi zao za ulaji zitakuwa mashakani. Ila kama atawaahidi na kuwahakikishia kuendelea na Uenyeviti na ukatibu wa mikoa wa CCM, Ukatibu mkuu wizarani, ukurugenzi, ukuu wa polisi, ukuu wa magereza, ukuu wa majeshi, ukurugenzi wa halmashauri za miji, uenyekiti wa tume ya uchaguzi na ukurugenzi wake, ukuu wa usalama wa Taifa, Ukuu wa TAKUKURU, Usajili wa vyama vya siasa, Ukuu wa mikoa na wilaya basi siyo tu watampigia kura bali pia watakuwa tayari kumtangaza pindi akichaguliwa na wananchi na hawatamuibia kura. Hao wote niliyowataja ndiyo sababu za kwa nini "CCM huwa inashinda kwa vyovyote au kwa lazima"
 
Ajimalize kisiasa kwa siasa gani, za CCM? You must be in a different world all together. Huyu bwana ni wa kimataifa for your information, wala hafai kwenye siasa zenu za majitaka! Hata hivyo anaweza kuwa Rais mzuri sana na akairudisha nchi kwenye mstari unaotakikana. CHADEMA wakifanikiwa kumpata watakuwa wamelamba dume!

Boramaisha nakubaliana na wewe ila unajua kilichomkumba huyu bwana kule NEC?

Angelikuwapo sauti ya umeme fieldmarshall angelikuambia ilitembea a smear campaign kwani ilionekana toka mwanzo kuwa SAS anakubalika kwanza wanaCCM wote ukiondoa mtandao, pili wananchi vijijini wanamjua maana alikuwa katika kwapa ya baba wa taifa, tatu ni mtu ambaye anarekodi safi.

Zikaja siasa za yeye ni nani kwani? Wakatokea watu toka zanzibar wakidai baba yake alikuwa ni mmoja wa wanachama wa Hizbu Tahriri (Kama unawafahamu) ikaanza siasa jamaa anaweza kurudisha usultani. Viko vizee vya unazi ndani ya NEC hasa zanzibar vikamchafua sana huyu jamaa.

Sasa akiamua kwenda chadema sawa sikatai ni mtu kwa ukweli anafaa hasa kwa sasa kwani:-

a). Anakubalika na watanzania wengi kiutendaji

b). Ni mtu ana experience ya kutosha na muadilifu

c). Ana nguvu ya ushawishi but itabidi Chadema wafanye kazi ya ziada sana kumuuza kwani tatizo ni kwamba Chadema kitaanza kunadiwa chama cha uarabu, uislamu na mambo mengi navyowajua CCM inabidi waanze kwanza kuyaua haya mengine ni rahisi maana kumbuka asilimia kubwa ya watanzania wameishia darasa la nne tu sasa wakidanganywa na mambo kama haya basi wameisha.

Ni afadhali SAS aende CCJ kwani vinaendana kimtazamo wa kisiasa but Chadema inawezekana but kazi ipo
 
kwa kumsaka huyu jamaa apeperushe bendera yao kwenye uchaguzi, I hope Chadema are not chasing a ghost!
 
CCM hawako hivyo unavyofikiria. Hawampi mtu kura kama nafasi zao za ulaji zitakuwa mashakani. Ila kama atawaahidi kuendelea na Uenyeviti wa CCM, Ukatibu mkuu, ukurugenzi, ukuu wa polisi, ukuu wa magereza, ukuu wa majeshi, ukurugenzi wa halmashauri za miji, uenyekiti wa tume ya uchaguzi na ukurugenzi wake, ukuu wa usalama wa Taifa, Ukuu wa TAKUKURU, Usajili wa vyama vya siasa, Ukuu wa mikoa na wilaya basi siyo tu watampigia kura bali pia watakuwa tayari kumtangaza pindi akichaguliwa na wananchi na hawatamuibia kura. Hao wote niliyowataja ndiyo sababu za kwa nini "CCM huwa inashinda kwa vyovyote au kwa lazima"

Hofstede sizungumzii CCM wachache walioko madarakani mie nazungumzia CCM wanachama wanaomjua vizuri SAS watampa nakuhakikishia ndugu yangu jamaa anapendwa kuliko JK wewe subiri aseme anaingia katika kinyang'anyiro uone CCM bara kama kutakalika
 
CCM hawako hivyo unavyofikiria. Hawampi mtu kura kama nafasi zao za ulaji zitakuwa mashakani. Ila kama atawaahidi na kuwahakikishia kuendelea na Uenyeviti na ukatibu wa mikoa wa CCM, Ukatibu mkuu wizarani, ukurugenzi, ukuu wa polisi, ukuu wa magereza, ukuu wa majeshi, ukurugenzi wa halmashauri za miji, uenyekiti wa tume ya uchaguzi na ukurugenzi wake, ukuu wa usalama wa Taifa, Ukuu wa TAKUKURU, Usajili wa vyama vya siasa, Ukuu wa mikoa na wilaya basi siyo tu watampigia kura bali pia watakuwa tayari kumtangaza pindi akichaguliwa na wananchi na hawatamuibia kura. Hao wote niliyowataja ndiyo sababu za kwa nini "CCM huwa inashinda kwa vyovyote au kwa lazima"

Hawa wote uliowaorodhesha huwa hawampi kura mtu au chama chochote. Ndiyo wezi wa kura kuipa ccm. Hilo umelisahau.
 
CCM hawako hivyo unavyofikiria. Hawampi mtu kura kama nafasi zao za ulaji zitakuwa mashakani. Ila kama atawaahidi na kuwahakikishia kuendelea na Uenyeviti na ukatibu wa mikoa wa CCM, Ukatibu mkuu wizarani, ukurugenzi, ukuu wa polisi, ukuu wa magereza, ukuu wa majeshi, ukurugenzi wa halmashauri za miji, uenyekiti wa tume ya uchaguzi na ukurugenzi wake, ukuu wa usalama wa Taifa, Ukuu wa TAKUKURU, Usajili wa vyama vya siasa, Ukuu wa mikoa na wilaya basi siyo tu watampigia kura bali pia watakuwa tayari kumtangaza pindi akichaguliwa na wananchi na hawatamuibia kura. Hao wote niliyowataja ndiyo sababu za kwa nini "CCM huwa inashinda kwa vyovyote au kwa lazima"

Na hawa ndio ambao wanashiba kwa hiyo itakuwa kazi kubwa kuwashauri wachague mtu ambaye wanaona atawashika mkono wasipeleke tonge mdomoni. Hata hivyo, tusife moyo kuna kundi kubwa la asilimia 70 ya wafuata upepo pamoja na wengine waelewa wenye uchungu na mstakabali wa nchi hii. Ushindi unaweza kupatikana kupitia kwa hao iwapo akipatikana mgombea makini atakayeweza kuiumbua ipasavyo CCM-Fisadi.
 
Na hawa ndio ambao wanashiba kwa hiyo itakuwa kazi kubwa kuwashauri wachague mtu ambaye wanaona atawashika mkono wasipeleke tonge mdomoni. Hata hivyo, tusife moyo kuna kundi kubwa la asilimia 70 ya wafuata upepo pamoja na wengine waelewa wenye uchungu na mstakabali wa nchi hii. Ushindi unaweza kupatikana kupitia kwa hao iwapo akipatikana mgombea makini atakayeweza kuiumbua ipasavyo CCM-Fisadi.

Nakubaliana na wewe ndio maana nikasema Chadema ina kazi ngumu maana hawa wakijua kuwa jamaa anataka kugombea zitaanza juhudi kuharibu na kuhakikisha jamaa anaogopewa na CCM - wanyonge maana akiweza kuwashawishi CCM- wanyonge ambao ni wengi CCM-Fisadi ni historia.
 
CCM hawako hivyo unavyofikiria. Hawampi mtu kura kama nafasi zao za ulaji zitakuwa mashakani. Ila kama atawaahidi na kuwahakikishia kuendelea na Uenyeviti na ukatibu wa mikoa wa CCM, Ukatibu mkuu wizarani, ukurugenzi, ukuu wa polisi, ukuu wa magereza, ukuu wa majeshi, ukurugenzi wa halmashauri za miji, uenyekiti wa tume ya uchaguzi na ukurugenzi wake, ukuu wa usalama wa Taifa, Ukuu wa TAKUKURU, Usajili wa vyama vya siasa, Ukuu wa mikoa na wilaya basi siyo tu watampigia kura bali pia watakuwa tayari kumtangaza pindi akichaguliwa na wananchi na hawatamuibia kura. Hao wote niliyowataja ndiyo sababu za kwa nini "CCM huwa inashinda kwa vyovyote au kwa lazima"
Hofstede

You are missing the point, target si hao uliowataja makatibu wakuu sijui wenyeviti wa CCM target ni wananchi walio wengi, hao uliowataja wataachwa waendelee na CCM yao.
 
Hawezi kwenda chadema.Mngesema CCJ ikipata usajili wa kudumu,walau mngeni convince
 
Hofstede sizungumzii CCM wachache walioko madarakani mie nazungumzia CCM wanachama wanaomjua vizuri SAS watampa nakuhakikishia ndugu yangu jamaa anapendwa kuliko JK wewe subiri aseme anaingia katika kinyang'anyiro uone CCM bara kama kutakalika
Yeye Hofstede anafikiri tunazungumzia uchaguzi ndani ya CCM hadi awaahidi vyeo walio madarakani, anachanganya na SAS kuwa nje ya CCM kuwa hana haja ya kuwaahidi vyeo walio madarakani ni kama kusema Mrema aanze kuwaahidi vyeo makatibu wa wizara.
 
Ana nia ya kuhamia huko? Kama ndiyo, lini atafanya hivyo? July 2010? Chadema bado hakuna mtu aliyetangaza nia ya kuwania urais? Niliwahi kusikia kuwa JK angetoswa tena 2005 na CCM alikuwa amejiandaa kuruka na kutua Chadema na kugombea!
 
Still connecting the dots

20091221_4col-img-salim.jpg

This is quite interesting! By the way, this gentle, intelligent international figure is too diplomatic and too clean to deal with crooks na croocked politics za CCM! CHADEMA msimtafutie balaa...
 
Ana nia ya kuhamia huko? Kama ndiyo, lini atafanya hivyo? July 2010? Chadema bado hakuna mtu aliyetangaza nia ya kuwania urais? Niliwahi kusikia kuwa JK angetoswa tena 2005 na CCM alikuwa amejiandaa kuruka na kutua Chadema na kugombea!

Mkubwa JK kumbuka ameshinda kwa kutumia nguvu ya mtandao ambao walihakikisha wanadominate NEC na kisha wanatumia mgongo wa CCM kumtangaza JK. Kuna watu huko mikoani hata JK hawamjui wanajua akina Cleopa msuya, sokoine na nyerere basi. Lakini SAS is the different ball game mkubwa yeye mwenyewe akisimama anatosha ila swala linakuja hawa CCM wanyonge wakishanyishwa sumu na CCM-fisadi basi SAS hashindi hata kwa bure. Ila kama CCJ au chadema wakiweza kulikamata hili swala wakaweza kuwazuia CCM-Fisadi wasieneze sumu SAS anashinda kiulaini Tanzania Bara. Zanzibar ni ishu nyengine maana bado ile sumu imerethishwa kwa generation tatu but umaskini na matatizo ya zanzibar hali inaweza kuwa tofauti ila kwa Tanzania Bara sidhani kama JK anaweza kumzuia huyu jamaa sidhani!!!
 
This is quite interesting! By the way, this gentle, intelligent international figure is too diplomatic and too clean to deal with crooks na croocked politics za CCM! CHADEMA msimtafutie balaa...

nakubaliana na wewe kwa hili
 
Mkubwa JK kumbuka ameshinda kwa kutumia nguvu ya mtandao ambao walihakikisha wanadominate NEC na kisha wanatumia mgongo wa CCM kumtangaza JK. Kuna watu huko mikoani hata JK hawamjui wanajua akina Cleopa msuya, sokoine na nyerere basi. Lakini SAS is the different ball game mkubwa yeye mwenyewe akisimama anatosha ila swala linakuja hawa CCM wanyonge wakishanyishwa sumu na CCM-fisadi basi SAS hashindi hata kwa bure. Ila kama CCJ au chadema wakiweza kulikamata hili swala wakaweza kuwazuia CCM-Fisadi wasieneze sumu SAS anashinda kiulaini Tanzania Bara. Zanzibar ni ishu nyengine maana bado ile sumu imerethishwa kwa generation tatu but umaskini na matatizo ya zanzibar hali inaweza kuwa tofauti ila kwa Tanzania Bara sidhani kama JK anaweza kumzuia huyu jamaa sidhani!!!
Huyu jamaa ni clean hata CCM-fisadi wakimwaga sumu hawatafanikiwa sana, hata kama atashindwa lakini atakuwa ameleta changamoto kwa siasa za baadae za tanzania.
 
Salim anaweza kuwa rais mzuri mara mia kuliko jk.Salim anaweza kuongoza vema Taifa letu kwani yeye hana makundi ya kishikaji kama alivyo rais wa sasa ambaye kusema kweli ameidhalilisha sana taasisi ya urais kiasi cha kufanya inchi iwe na ombwe la uongozi kwani hivi sasa Tanzania imekuwa kama pombe ya ngomani kila mtu anajichotea.
 
Nyie nyie. Mnaelewa mnachokizungumzaa??? Hivi ni nani mjinga ambaye umri wake umeenda na anakaribia kuf kufa anataka kujimaliza kisiasa saa hizi za magharibi? Mbona mwaongea pumba nyie??!
 
Kama mtu anafikiri Salim anaweza kutoka CCM, huyo inafaa arudi kuishi enzi za Utopia.

Huyo Salim hata akirushiwa bomu la machozi atakuwa hoi, sio ngangari kama Mrema, Mbowe au Hamad. Hawezi, na hata siku moja hatathubutu kujiingiza kwenye siasa za mabavu, mshike mshike.

Kibaya alishindwa kihalali alipogombea 2005. Mwache aendelee kula pension yake.

Mpeni Mengi hiyo nafasi maana nimesikia anaitaka.
 
Nyie nyie. Mnaelewa mnachokizungumzaa??? Hivi ni nani mjinga ambaye umri wake umeenda na anakaribia kuf kufa anataka kujimaliza kisiasa saa hizi za magharibi? Mbona mwaongea pumba nyie??!
Marigwe
Ukipenda unaweza kuifuta hiyo kauli au kuiacha, kwani ni nani aliye mbali na kifo, unajua umbali wa kifo chako? unaweza wewe kufa leo ukamwacha babu yako anadunda.
 
Back
Top Bottom