Hizi ni tetesi wala makachero msipoteze Muda kuja nibana nani zangu kuniulza umepata wapi taarifa.
Ila hii ni hali yakawaida na nijambo wengi wetu tulilitegemea kutokana na mazingira na matukio yanaendekea mkuu wa kaya amekaa kimya kimya wengi wanakiona kama sii cha kawaida ila ni chakawaida. Hasa pale maamuzi mazito na magumu yanataka kuyolewa kwa mustakabali wa taifa.
Kiufupi haya ni mazito na nikatika kila nyanja prove im wrong but this is more than top secret even me siwezi andika hapa.
Jambo kubwa tunaweza kufanya nikuliombea taifa letu na viongozi wetu kulipeleka taifa hili nchi ya ahadi.
Jambo la hatari sana labda nigusie ni hujuma ya watu wachache kwa taifa nadhani hili linamkosesha usingiz mh Rais nakama mnavyo mjuwa hatanii nikweli anamanisha wanao hujumu taifa nibora wahame taifa nahata wakiama yawapasa kutubu before time change.
Sina habari zaid ya hii ila napenda watanzanie wajuwe huyu Rais sio wakawaida na uwenda asitokee tena baada ya miaka kadhaa.
Mwisho wa unabii wangu na mwaka mpya mwema.
Ila hii ni hali yakawaida na nijambo wengi wetu tulilitegemea kutokana na mazingira na matukio yanaendekea mkuu wa kaya amekaa kimya kimya wengi wanakiona kama sii cha kawaida ila ni chakawaida. Hasa pale maamuzi mazito na magumu yanataka kuyolewa kwa mustakabali wa taifa.
Kiufupi haya ni mazito na nikatika kila nyanja prove im wrong but this is more than top secret even me siwezi andika hapa.
Jambo kubwa tunaweza kufanya nikuliombea taifa letu na viongozi wetu kulipeleka taifa hili nchi ya ahadi.
Jambo la hatari sana labda nigusie ni hujuma ya watu wachache kwa taifa nadhani hili linamkosesha usingiz mh Rais nakama mnavyo mjuwa hatanii nikweli anamanisha wanao hujumu taifa nibora wahame taifa nahata wakiama yawapasa kutubu before time change.
Sina habari zaid ya hii ila napenda watanzanie wajuwe huyu Rais sio wakawaida na uwenda asitokee tena baada ya miaka kadhaa.
Mwisho wa unabii wangu na mwaka mpya mwema.