Tetesi: Kimya cha mkuu wa Nchi kina mshindo kuelekea 2018

Bora usingeandika chochote kwa sababu unategea aongee lolote kisha uje utuambie 'nilisema'
Otherwise switch to point
 



Zamani jf ilisheheni NONDO za maana na ilikuwa chimbuko la mijadala ya kitaifa,siku hizi mpuuzi mmoja tu akimaliza kupatiwa unyumba na mwezi wake,anakimbilia jukwaani kuleta hisia zake.Tetesi za kipumbavu za aina hii zilizosheheni mahaba kwa bwana wako ni vizuri ungebaki nazo mwenyewe!
 
Yupo kimya! Ndio yupo kwenye maombi. Anajutia dhambi zake,anataka kuingia mwaka mpya akiwa safi
Bora awe kimya Nina miezi mitano siangalii taarifa za habari,bora niangalie James Bond Movie kuliko upepo wa huyu jamaa,amedanganya vitu vingi matokeo yake chuki imeleta shida,na mawakara wake Tulia na Job wameliweka taifa gizani,tunachojua hatuna Rais mpaka Mungu atapopenda.
 
Rubbish



Sent from my HM NOTE 1LTEW using JamiiForums mobile app
 
after magufuri leadership we will start complaing the new leader
Kama utawala huu utaisha, nahisi tujitayarishe for 20 years, sikiliza tbc watu wanatayarishwa kisaikologia
 
Yupo mapumziko tu ... Akiongea shida akikaa kimya shida watanzania bwana embu tuache porojo tukomae kutafuta grease
 

Wanaomnyima usingizi ni wa hukohuko pande yake aendelee kujitafakari tu
 
Kuna MTU simpendi, yaani Basi tu, Kwanza nadhani hajatahiriwa maana kule kwao hawatahiri hadi kwa msaada wa watu wa Marekani,
Bujibuji utaendelea kuwa na donge kooni na utazeeka nalo. Uzuri wa CCM ni kuachiana vijiti. Baada ya Magufuli atakuja mwingine, so vumilia tu dawa ikuingie vizuri kwa muda wa miaka 10.
 
CCM ndio kwao hawatahiri?
Sasa kutahiri na CCM vinahusianaje? Nadhani siku hizi unatakiwa upumzike tu maana umekuwa na mipasho mingi sana.
Nimewahi kusoma kitabu kiitwacho "Men Are From Mars, Women Are From Venus" Naona dalili za kama mtu aliyetoka kwenye sayari ya Zuhura vile.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…