Tetesi: Kimya cha mkuu wa Nchi kina mshindo kuelekea 2018

Mimi nahisi amemaliza kuunda sirikali sasa ameanza kufanya kazi. That's why more 2 years are required as compensation due to 2 yrs lost for Bandika bandua!
 

ukiwa umekunywa pombe zako silazima kukaa chini na kuandika huku
 
Hata mimi naona una kaliba chotara kati ya ile ya mchojoa mavazi mahiri lemutuz Na nyingine ni ya Deogratius Kisandu. Ni hatari sana kapoteza muda kwa mtu mwenye kaliba za aina hii
 
Hata mimi naona una kaliba chotara kati ya ile ya mchojoa mavazi mahiri lemutuz Na nyingine ni ya Deogratius Kisandu. Ni hatari sana kapoteza muda kwa mtu mwenye kaliba za aina hii
Hakika nimekubana kwenye kona umelainika kweli. Nikuulize tu je, umewahi kukisoma kitabu hicho?
Men Are From Mars, Women Are From Venus
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…