Kimya Cha Rais Samia kuhusu kifo cha kiongozi wa CHADEMA, Ally Kibao, kinaanza kutia wasiwasi mkubwa

Yani we ndugu ulijua alikuwa serious kusema anataka uchunguzi?? Utakuwa mgeni nchini wewe! Hiyo ndo ishatoka brother tazama mengine! Nchi hadi ije ipate upako hii, tunasubiri mwamposa atusaidie kutuamsha japo anatulaza naye zaidi na kutupiga njuluku deile
 
Serikali isiyotaka kuwajibika Kwa wananchi wake, inajitia kitanzi yenyewe................

Inaweza kuwa siyo leo au kesho, lakini ni lazima itatokea siku hiyo serikali itajutia hivyo vitendo vyake vya kiwapuuza wananchi wake waliowapa hayo madaraka
 
Serikali isiyotaka kuwajibika Kwa wananchi wake, inajitia kitanzi yenyewe................

Inaweza kuwa siyo leo au kesho, lakini ni lazima itatokea siku hiyo serikali itajutia hivyo vitendo vyake vya kiwapuuza wananchi wake waliowapa hayo madaraka

Kwa kuwa inajua hamna atakayekaza hicho kitanzi na washafanya michakato yao kama hapa wanavosema!
 

Attachments

  • 5770917-12f2f23d25bbe7fc3516e11af8120993.mp4
    15.1 MB
  • 5811319-c90487a0a3c9f670172c401e803cbac6.mp4
    3.5 MB
Kuna mahali umeandika yanayoingia akilini mengine pumba.Kama uchunguzi haujakamilika itakuwaje ? Ile haraka aliyosema Mhe. Rais haikutaja ni ndani ya muda gani.Ama hili la kujiuzulu umetaja na IGP.Labda ukasome tena shule ufundishwe mambo mbalimbali ili usikurupuke kuandika kwa hisia.Katika jeshi hakuna kujiuzulu.
 
Kumbe kuna wakati intelejensia haifanyi kazi ama huchelewa,

Mnanikumbusha, usipoijua sheria ya kuelea chombo kitazama pia usipo ijua kanuni ya joto taa zinaungua nyumbani hasa jikoni
 
Sikuwahi kusoma andiko la Mh Raisi.ila kama ni kama ulivyoandika hapo naona kama Mh kasema ni kitendo cha kikatili kabla ya ripoti.Pili,au labda sasa keshapewa ripoti akasema "kumbee".
 
Duuh yaani kuna watu bado mna matarajio makubwa na Ikulu kutoa kauli zaidi ya zile "Kifo ni kifo"?
Wanataka big result now, ama kushuhudia anaye jitekenya akicheka.

Hivi kauli mbiu ya "Big result now" iliishia wapi
 

Yeye ndiyo amir jeshi mkuu ,atoe majibu regardsless ya chochote kilichotokea ,hiyo kauli mbio ya SMG(Sir100 Must Go) ni ya kumsisitiza atoe majibu kwa haraka.

Ukiona tukio kubwa limetokea ambalo linaacha trace nyingi za kuweza kuwajua wauaji au watekaji na hakuna mtu aliyechukuliwa hatua basi jua ni "WATU WASIOJULIKANA" ndiyo wametekeleza ,wewe unachotakiwa kufanya ni kuoga na kulala kazi iendelee.
 
Kama kusoma ujui hata picha uoni. Imekwisha hiyo. Ungeaza kuuliza ni nani walirusha bomu kwenye mkutano wa CDM Arusha, Nani Alimuua Alfonce Mawazo, Nani alimpiga risasi tundulisu, Nani alitengeneza kesi ya ugaidi ya Mbowe nani Amewateka wakina soka Mbona la kibao lina mda mfupi sana, sisimizi !!!Bado Jeshi letu linachonguza yote haya wala usihofu uchunguzi ni Process ya mda mrefu hasa kwa watu hawa wasiyo eleweka ila Ingekuwa ni Jaji au waziri inakuwa Rahisi kwasababu nyendo zao zipo straight
 
Ni jambo la ajabu kuwa hao watetezi wa Mama wanakomalia eti CHADEMA wamekosea kuweka "Samia must go" kama slogan yao Kwenye maandamano yao ya amani.........

Hebu mjiulize huko Kenya walikuwa na slogan "Ruto must go" je maandamano yalizuiwa??

Je huyo Ruto ameondoka madarakani, au bado anaendelea na madaraka yake??

Mtambue kuwa hizo ni politics tu na Kila kinachoweza kusemwa -kinasemwa, Ili mradi huvunji sheria za nchi
 
Kwa kweli katika hatua tuliyofikia Taifa hili, inabidi wananchi tuendelee kuliombea Ili lirejee kuwa ni Taifa la Amani kama lilivyokuwa hapo awali.

Mungu ibariki Tanzania
Yaani tuliombee Taifa? Mkuu una amini maombi yana msaada wowote kwenye Taifa hili na watu wake? Tukiomba na majibu yasipokuja una shauri tufanye nini kama wananchi?
 
Siku tumbili alivoahidi kuichunguza na kutoa hukumu ya haki kwa kesi ya ngedere
 
Kwanza jiulize Mnyika yuko wapi?
 
Yaani tuliombee Taifa? Mkuu una amini maombi yana msaada wowote kwenye Taifa hili na watu wake? Tukiomba na majibu yasipokuja una shauri tufanye nini kama wananchi?
Naamini kuwa maombi Kwa Mungu, Yana nguvu sana na kama majibu yake yasipokuja leo au kesho, bado naamini ipo siku Mungu aliye Mkuu kuliko kitu chochote hapa Duniani atatoa majibu tuuu.
Full Stop
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…