Kimya Cha Rais Samia kuhusu kifo cha kiongozi wa CHADEMA, Ally Kibao, kinaanza kutia wasiwasi mkubwa


..kama ni kweli Chadema wanatekana, Je, Raisi hatakiwi kuwatetea, na kuwatendea haki, wahanga wa uovu wa Chadema?
 
Wasiwasi wangu ni kwa Soka na wenzake maana siku zinaenda na mamlaka zote zimekana kuwashikilia nahofia ya Ben Saanane 😥

..Ni zaidi ya siku 40 toka Soka na wenzake watekwe.
 
Mbona alishazungumza septemba 23!
 
Si ndio the citiz3n wanaibuka kukumbusha na animated clip wanafungiwa na TCRA.

Lakini mjumbe hauwawi na clip imetrend twitter. 4R kuna independent media coverage kweli au hebu tukumbushane ile stageplay ya 4R
Weka hapa hiyo animation
 
Mliambiwa mzoee kifo, bado nini tena.
 
Alitoa tamko la kusikitishwa na amri ya kufanyika haraka kwa uchunguzi hukuona? Au ulikua busy space kuhamasisha maandamano? Rais sio polisi ifike mahali kila chombo kifanye kazi kwa nafasi yake. Ukikosa mada nzuri ya kuanzisha weka hata like kwenye mada za wenzio sio lazima ujaze saver!
 
 

Attachments

  • VID-20241003-WA0005.mp4
    14.7 MB
Acha kumuwekea Mh. Rais maneno mdomoni. Sijui kwanini CHADEMA mnapenda uzushi? Hayo ni mawazo yako na si maneno aliyosema.
 
Wahalifu hawawezi kujichunguza wenyewe
 

Hizi za kiimani wanaziita dua la kuku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…