Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora Shari kamili kuliko nusu Shari, kukaa kimya Ni Kama nusu Shari tu.Tena utajiepusha na mengi Kwa kukaa kimya,haijalishi yanaumiza kias gani but ukikaa kimya umejinusuru na mengi mabaya🙏
Ndiyo hivyo🤜
Usidanganyike UKIMYA NI JIBU SAHIHI USIYUMBE NDUGU mbona Uzi wako uko good Sana Ila naona unavyopitia comments unataka kusuport Tena kuongea Baki na msimamo wakoSawa mkuu,nimekupata[emoji120]
🙏 Sana....ndo ukweli mkuuUsidanganyike UKIMYA NI JIBU SAHIHI USIYUMBE NDUGU mbona Uzi wako uko good Sana Ila naona unavyopitia comments unataka kusuport Tena kuongea Baki na msimamo wako
UKIMYA NI KIWANGO CHA JUU CHA BUSARA NA HEKIMA
Hata neno la Mungu linasema Ivo ktk mithali
Amiin best friend wangu wa muda wote. Kama maji yamezidi unga, nikute kona yetu ile ili tuwekane sawa 😀😀😀Yeah,siyo lazima ujibu,siyo lazima utake action.... barikiwa
Haijawahi na kamwe haitowahi kutokea nikuache uangamie mbele ya macho yangu. Believe me best 🤞😜 I appreciate you my kamanda,hujawahi niacha niangamie😉🙏
masiku kadhaa yaliyopita kuna watu walikuwa wanaambizana kuwa me ni jeuri& najidai, sasa kulikuwa na mzee mmoja ananifahamu zaidi ya wale watu wanavyonifahamu.. mzee ikabid awachane live kuwa kijana ni mstaarabu ila hana maneno mengi wala shobo hususan kwa watu asio wafaham. lakin hii yote hutokana na ukimyaUkweli ukimya ni mzuri lakini pia una Madhara yake watu wasipokuelewa wanaona rahisi kukuzushia kiburi au una linga na pia sababu haujibu kitu
Wataona ni fursa hiyo...sio Kila mara ukimya unasaidia
Kuna sehemu nipo,tangu January nipo kimya tuuuuu,watu wanapata tabu sanaaa.Ila me na enjoy life sn kwa huu ukimya naumeniepusha na mengiiiiTena utajiepusha na mengi Kwa kukaa kimya,haijalishi yanaumiza kias gani but ukikaa kimya umejinusuru na mengi mabaya[emoji120]
Ndiyo hivyo[emoji2936]
Acha wakuone ivoivo 🤣masiku kadhaa yaliyopita kuna watu walikuwa wanaambizana kuwa me ni jeuri& najidai, sasa kulikuwa na mzee mmoja ananifahamu zaidi ya wale watu wanavyonifahamu.. mzee ikabid awachane live kuwa kijana ni mstaarabu ila hana maneno mengi wala shobo hususan kwa watu asio wafaham. lakin hii yote hutokana na ukimya