Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
2025 ibeni kura ashinde mgombea wa upinzani,tufanye nini mwalimu ili tulikurupue shari kamili!?
Silence is wisdom..Tena utajiepusha na mengi Kwa kukaa kimya,haijalishi yanaumiza kias gani but ukikaa kimya umejinusuru na mengi mabaya[emoji120]
Ndiyo hivyo[emoji2936]
š¤£InasikitishaKuna watu wanaweza kujibadili Tabia.. siku ukijua utashangaa!
Sent from my TECNO CD6 using JamiiForums mobile app
š¤£š¤£š¤£aiseeUsikae kimya sana watu wasije kudhania umekukufa
Unaweza mwona mpole kumbe anatunga sheriaKuna watu wanaweza kujibadili Tabia.. siku ukijua utashangaa!
Sent from my TECNO CD6 using JamiiForums mobile app
Ya ni kweli mkuu. Ubarikiwe sana kwa kuliona hilo.Ukimwa hutoa mateso ya kisaikolojia kwa unaowakalia kimya... !! Hasa kama unaonewa
@to yeye nani kakuharibia siku tena mpendwa.?Tena utajiepusha na mengi Kwa kukaa kimya,haijalishi yanaumiza kias gani but ukikaa kimya umejinusuru na mengi mabaya[emoji120]
Ndiyo hivyo[emoji2936]
Yap ni kweli ukimya ni jibu zuri sana kwa wakati fulani ila si kila wakati uwe kimya mkuuTena utajiepusha na mengi Kwa kukaa kimya,haijalishi yanaumiza kias gani but ukikaa kimya umejinusuru na mengi mabaya[emoji120]
Ndiyo hivyo[emoji2936]
Sana na siko tayari [emoji23][emoji23][emoji1787]unaogopa kuonewa
Hahahah sure[emoji23][emoji23]Tena utajiepusha na mengi Kwa kukaa kimya,haijalishi yanaumiza kias gani but ukikaa kimya umejinusuru na mengi mabaya[emoji120]
Ndiyo hivyo[emoji2936]