Kina dada: Mazoezi yenu kando ya barabara ni ufuska mtupu

wanasaidia sana kupoteza mawazo wakati wa foleni asubuhi bagamoyo road huwa kuna dada mmoja anabonge la tako, na jioni kuna wale mademu wa vodacom pale mlimani city nao ni full kusaula wanajifanya wazungu basi mimi huwa naomba foleni isitembee!
 
Wanawake vitimbi mkuu Kila kona wanatubana kweli wamejizatiti kwendana na Kasi ya hapa kazi tu.
 
Hakuna mazingira mwanaume anaweza vaa nguo Itakayoleta Usumbufu Kwa Mtu mwngine , epecially linapofika vazi la Mazoezi.
Tofauti ni kuwa mwanaume Hana matak@ na wadada tuna miinuko vitonga,wanaume Hamna matiti while wadada wanayo. Kinachokusumbua ni tamaa zako tu,kwani sumaku zinashikana katika mtindo gani? Ukioata jibu hilo utajua,kinachokutesa ni attraction toward them. And marufuku kusema ufuska sijui wadada kwani wote ni Madada poa??? Ni vepe chaliii
 
just your dirty mind doing tricks with you😀😀
 
Hakuna kitu, we ukimpata ni akili zako zimekutana na zake. Wapo ki mazoezi.

Kando ya road ni cover pia kwao, ngumu kumfanyia hujuma
 
acha wapendezeshe barabara, lakini kuwa makini unapokuwa unaendesha
 
A human is a very complicated being, it is difficult to please him, as long as it is not a sin, I'll do it no matter what they may say/argue
 
A human is a very complicated being, it is difficult to please him, as long as it is not a sin, I'll do it no matter what they may say/argue
Some people just need a little exposure.
 
Na wakaka wanauza nini mkuu..kiufupi asilimia kubwa wanaofanya mazoezi wadada au wanawake wanene na mavazi yaao mostly niya mazoezi long skin may be na tshet sasa ww unataka wavae magauni ama..acha watu walio jaliwa neema za allah wafanye mazoezi buanah,,,,au mpaka wakondefu wanakushtua
 
Ama nene.... Aisee Ntauza Arushya mim
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…