Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] ili ukawaone sio
hujawai kuniona olda bagamoyo road ?MI nawapenda sana wanafurahisha
kumbe huwa unaniona mkuu huwa naanzia tank bovu naenda mbezi ya chini kule napandishia pale junction ya kaweMimi ambaye ni bachelor huwa nafurahi sana kuwaona maeneo ya barabara ya Mbuyuni mpaka Africana pale,wapo weupe,wapo weusi,wenye chura na wasio na chura!
Raha sana,yaani we acha tu!!!
Ikifika mida ya jioni jioni kama saa kumi vile,mdogo mdogo naanza kusogea ili kujionea mavitu ya bure bure! 🙂
😀 😀 😀 😀
haya subiri wakupe mwongozoYeah nkasafishe macho kidogo nione neema za uumbaji
😀 😀 🙂Mpumbavu wewe usiyejua nguvu kitumbua kwa mwanaume...![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
😀 😀 😀 😀 huwa unanisuuza mtima wangu sana,unatikisika kama maini kwenye mfuko wa rambo 😀 😀kumbe huwa unaniona mkuu huwa naanzia tank bovu naenda mbezi ya chini kule napandishia pale junction ya kawe
Wanauame wanaofanya mazoezi barabarani haujawaona?Hii sasa imegeuka kama style flani hivi kwa sasa na hii inafanyika mikoa mikubwa especially Dar na Arusha. Kina dada wamegeuza sehemu hiyo kua fursa ya kufanya ufuska wao mwingine. Mtu unajiuliza gym hakuna? Basi kama gym gharama, hakuna maeneo special kwa ajili ya hayo mazoezi?
Au labda kukimbia barabarani kunaongeza ufanisi wa mazoezi? Sasa tazama nguo wanazovaa vs maumbilie yao, tazama maeneo ya barabara wanapofanyia hayo mazoezi, tazama na muda pia. Kisha jumlisha, unipe jibu.
Mimi hesabu zangu zimeniletea majibu mazuri, "Mazoezi barabarani ni njia ya kina dada kujipatia wanaume. (huwenda sio wote)
Dili pia zimepigwa marufuku na mjomba Magu!Wengi wakosa kaziiii
🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂🙂Wakaka mazoezi yao kando ya barabara ni sawa gym zinakua zimejaa??
Arusha ni Njiro mkuuArusha kwenye barabara ipi?? Dar pia ni barabara zipi hasa wanapenda kupita??