Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tazamo tuHii sasa imegeuka kama style flani hivi kwa sasa na hii inafanyika mikoa mikubwa especially Dar na Arusha. Kina dada wamegeuza sehemu hiyo kua fursa ya kufanya ufuska wao mwingine. Mtu unajiuliza gym hakuna? Basi kama gym gharama, hakuna maeneo special kwa ajili ya hayo mazoezi?
Au labda kukimbia barabarani kunaongeza ufanisi wa mazoezi? Sasa tazama nguo wanazovaa vs maumbilie yao, tazama maeneo ya barabara wanapofanyia hayo mazoezi, tazama na muda pia. Kisha jumlisha, unipe jibu.
Mimi hesabu zangu zimeniletea majibu mazuri, "Mazoezi barabarani ni njia ya kina dada kujipatia wanaume. (huwenda sio wote)
Kuna kitu nimejifunza jinsi tunavyokuza ufahamu wetu na kuwa na ulevi wa aina fulani kiakili. Kunashida namna tulivyokuzwa na kila mara kile kilichomo akilini mwetu hutafsiri tunacho kiona na kuamua namna ya kuamua. Kitu kimoja kitaamuliwa na watu tofauti kufuatana na namna alivyojengwa kihisia.Hii sasa imegeuka kama style flani hivi kwa sasa na hii inafanyika mikoa mikubwa especially Dar na Arusha. Kina dada wamegeuza sehemu hiyo kua fursa ya kufanya ufuska wao mwingine. Mtu unajiuliza gym hakuna? Basi kama gym gharama, hakuna maeneo special kwa ajili ya hayo mazoezi?
Au labda kukimbia barabarani kunaongeza ufanisi wa mazoezi? Sasa tazama nguo wanazovaa vs maumbilie yao, tazama maeneo ya barabara wanapofanyia hayo mazoezi, tazama na muda pia. Kisha jumlisha, unipe jibu.
Mimi hesabu zangu zimeniletea majibu mazuri, "Mazoezi barabarani ni njia ya kina dada kujipatia wanaume. (huwenda sio wote)
Kule ushuani..ngoja ntaenda kuona neema za uumbajiArusha ni Njiro mkuu
hahahahaMi naona ni maua pembeni ya barabara..... at least tunapata something new to stare at
wewe muaji afumbe macho tenaFumba macho
Haaaa[emoji13] [emoji13] [emoji13] acha tamaaMnasababisha ajali acheni upuuzi..! Kitumbua kimetuna kwenye track mpaka mtu unasahau njia na gari linaingia mtaroni.
Unanicheka eehh..! Juzi kati kidogo niingie mtaroni njia ya chuo via baruti kwenye zile kona nilistuka gari inaelea kuingia mtaroni karibu na mto..[emoji125] [emoji125]Haaaa[emoji13] [emoji13] [emoji13] acha tamaa
Huku mie wamenipa hamasa hata mimi siku hizi nafanya mazoeziMI nawapenda sana wanafurahisha
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] kisa chura au ?Unanicheka eehh..! Juzi kati kidogo niingie mtaroni njia ya chuo via baruti kwenye zile kona nilistuka gari inaelea kuingia mtaroni karibu na mto..[emoji125] [emoji125]
[emoji38] [emoji12] achaga tamaa utakuja ufe weweUnanicheka eehh..! Juzi kati kidogo niingie mtaroni njia ya chuo via baruti kwenye zile kona nilistuka gari inaelea kuingia mtaroni karibu na mto..[emoji125] [emoji125]
Siyo vyura tu, kuna wakati kitumbua kabisa unakiona etii kimefichwa kidogo tu, siku uzalendo ulinishinda nikatoa lifti afu kakaa mbele kila mara najikuta nimehama barabarani na kupigiwa honi...[emoji12] [emoji12][emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] kisa chura au ?