Kina dada: Mazoezi yenu kando ya barabara ni ufuska mtupu

Kina dada: Mazoezi yenu kando ya barabara ni ufuska mtupu

Mawazo potofu hayo
na wanaume wanaokimbia pembezoni mwa barabara tusemaje
 
Ni m
Hii sasa imegeuka kama style flani hivi kwa sasa na hii inafanyika mikoa mikubwa especially Dar na Arusha. Kina dada wamegeuza sehemu hiyo kua fursa ya kufanya ufuska wao mwingine. Mtu unajiuliza gym hakuna? Basi kama gym gharama, hakuna maeneo special kwa ajili ya hayo mazoezi?

Au labda kukimbia barabarani kunaongeza ufanisi wa mazoezi? Sasa tazama nguo wanazovaa vs maumbilie yao, tazama maeneo ya barabara wanapofanyia hayo mazoezi, tazama na muda pia. Kisha jumlisha, unipe jibu.

Mimi hesabu zangu zimeniletea majibu mazuri, "Mazoezi barabarani ni njia ya kina dada kujipatia wanaume. (huwenda sio wote)
tazamo tu
 
Hii sasa imegeuka kama style flani hivi kwa sasa na hii inafanyika mikoa mikubwa especially Dar na Arusha. Kina dada wamegeuza sehemu hiyo kua fursa ya kufanya ufuska wao mwingine. Mtu unajiuliza gym hakuna? Basi kama gym gharama, hakuna maeneo special kwa ajili ya hayo mazoezi?

Au labda kukimbia barabarani kunaongeza ufanisi wa mazoezi? Sasa tazama nguo wanazovaa vs maumbilie yao, tazama maeneo ya barabara wanapofanyia hayo mazoezi, tazama na muda pia. Kisha jumlisha, unipe jibu.

Mimi hesabu zangu zimeniletea majibu mazuri, "Mazoezi barabarani ni njia ya kina dada kujipatia wanaume. (huwenda sio wote)
Kuna kitu nimejifunza jinsi tunavyokuza ufahamu wetu na kuwa na ulevi wa aina fulani kiakili. Kunashida namna tulivyokuzwa na kila mara kile kilichomo akilini mwetu hutafsiri tunacho kiona na kuamua namna ya kuamua. Kitu kimoja kitaamuliwa na watu tofauti kufuatana na namna alivyojengwa kihisia.

Mtu aliyezoea kuangalia na kucheza mpira akili yake na lugha zake huenenda na kile kicho moyoni.

Lakini ukizoea pombe ukipita maeneo ya kinywaji lazima yale mazoea yatatriga akili iliushiriki kinywaji. Vilevile kama umezoea kuangalia ngono au maumbo ya wanawake au kifanya uzinzi na uasherati lazima utamvua nguo kila mwanamke au mwanaume pale umuonapo. Hili ni jambo ambalo huendeshwa na akili kwa sababu ya mazoea.

Hata kwenye maamuzi ya maisha kadiri unavyozoea kuamua mambo mengi kwa ufanisi tangu utoto, likely kuwa mfanyabiashara au kiongozi bora.

Hivyo ni vizuri kujikatalia baadhi ya mambo ili kutoathiri akili zetu. Na ndio maana Mungu anatushauri kutopenda mambo manyoge ilikurinda mstakabali wa jumla wa maisha yetu.
 
ipo moja ilikuwepo kinondoni sijui kama bado ipo,walikuwa wanachukuana tu wenyewe,wanakimbia kumbe wapo pair,na wewe ukienda ukimkuta single mwenzio jinsia tofauti mnatengeneza pair,wanamegana balaaa
 
Haaaa[emoji13] [emoji13] [emoji13] acha tamaa
Unanicheka eehh..! Juzi kati kidogo niingie mtaroni njia ya chuo via baruti kwenye zile kona nilistuka gari inaelea kuingia mtaroni karibu na mto..[emoji125] [emoji125]
 
Unanicheka eehh..! Juzi kati kidogo niingie mtaroni njia ya chuo via baruti kwenye zile kona nilistuka gari inaelea kuingia mtaroni karibu na mto..[emoji125] [emoji125]
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] kisa chura au ?
 
Unanicheka eehh..! Juzi kati kidogo niingie mtaroni njia ya chuo via baruti kwenye zile kona nilistuka gari inaelea kuingia mtaroni karibu na mto..[emoji125] [emoji125]
[emoji38] [emoji12] achaga tamaa utakuja ufe wewe
 
image.jpg
 
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] kisa chura au ?
Siyo vyura tu, kuna wakati kitumbua kabisa unakiona etii kimefichwa kidogo tu, siku uzalendo ulinishinda nikatoa lifti afu kakaa mbele kila mara najikuta nimehama barabarani na kupigiwa honi...[emoji12] [emoji12]
 
Back
Top Bottom