Jane Lowassa
JF-Expert Member
- May 10, 2016
- 4,955
- 9,041
Ulitakaje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NAKAZIA.SIKU ZOTE UKIJALI NA KUFUATA YAKO HUWEZI JISHUGHULISHA NA YASIYO KUHUSU
Story kama hii bila supporting document ni usaliti kwa wasomajiUkipita viunga vya UDSM alfajiri-asubuhi na jioni/usiku. Utashuhudia kinadada wakiwa wanafanya jogging pembezon mwa barabara aisee ni full-mitego. Mtu anajibana mpaka ramani ya Makao Makuu yanaonekana. Wengine mpaka chachandu zinaruka-ruka. Mpaka mtu unajiuliza haya mazoezi ama Sokoni?
SIKU ZOTE UKIJALI NA KUFUATA YAKO HUWEZI JISHUGHULISHA NA YASIYO KUHUSU
Ukitegwa, wewe unategua. Usikubali kunaswa na hiyo mitego. Zamani, yale tuliyokuwa tunayaona faraghani kwa wanawake, siku hizi yanaonekana hadharani. Wenyewe hata hawajali wala hawaoni aibu.
Misambwanda Kama yoteNdo nguo za mazoezi jamani
Picha SI ujipige utume hapa. TuoneHuu ni ujinga sasa,picha ziko wapi sasa ili tukuamini?