Kina dada: Mazoezi yenu kando ya barabara ni ufuska mtupu

Kina dada: Mazoezi yenu kando ya barabara ni ufuska mtupu

Ukitegwa, wewe unategua. Usikubali kunaswa na hiyo mitego. Zamani, yale tuliyokuwa tunayaona faraghani kwa wanawake, siku hizi yanaonekana hadharani. Hawajali wala hawaoni aibu. Hiki ndiyo kizazi tulichonacho sasa. Mungu atuhurumie
zamani IPI?
ya wanawake kufunga kaniki Viunoni huku vifua vipo wazi?
au zamani Ipi?
 
Tangu covid ianze bar zimekauka, madanga yamepotea, ufuska umehamia kwenye mazoezi, na hii nnaiona pia arusha along the new bypass, kuanzia ngaramtoni mpaka usa.. ni full mitego, wadada wengi wanafanya mazoezi kibiashara zaidi
Hahahaha
 
Ukitegwa, wewe unategua. Usikubali kunaswa na hiyo mitego. Zamani, yale tuliyokuwa tunayaona faraghani kwa wanawake, siku hizi yanaonekana hadharani. Hawajali wala hawaoni aibu. Hiki ndiyo kizazi tulichonacho sasa. Mungu atuhurumie
Hahahaha, ila Mkuu mm binafsi napenda mdada ,aseme bana nitafutie kiasi kadhaa tupige game ,sio kutegana tegana kingese
 
Nilipitaga pale Mlimani City siku moja kulikuwa na foleni,nikaamua nitembee kwa miguu mpaka Ubungo.Aisee yani pale kweli wapo kazini,unakuta mzigo huo umewamba kwenye tight,huku kwa mbele mpaka michoro ya K aka Camel toe inaoneka.

Yaani kile kipande kutembea tu nahisi nilitumia zaidi ya lisaa.

Dah asanteni kwa kunipa eneo la kwenda kutega mitego yangu niopoe wakugegeda.... Ila dah hawa wanawake wakivaa vile vicondom vya alafu tako lipo yaani bonge la vibration hadi raha.
 
IMG_20200304_052656.jpg
kwenye ile kili marathon iliyofanyika juzi kati walimtesa sana mzee massawe ile siku,maana mpaka hiyo mboga ilimuozea hapo hapo akiangalia neema za muumba
 
Back
Top Bottom