Kina dada: Mazoezi yenu kando ya barabara ni ufuska mtupu

Kina dada: Mazoezi yenu kando ya barabara ni ufuska mtupu

Tunapopita na range zetu wanakuwa wanatutazama kwa jicho la kuibia ibia angalau tuwapungie mkono, teh, teh....wazee wa kumega kisela lazima wacheze sana na milupo ya kujiachia kwa barabara...
 
Wazee wakutega tukutane jmosi jeshini njia ya exrtenal tuje kuona misabwanda
IMG-20200610-WA0019.jpeg
 
Hakuna kitu, we ukimpata ni akili zako zimekutana na zake. Wapo ki mazoezi.

Kando ya road ni cover pia kwao, ngumu kumfanyia hujuma
Jamaa anataka wakafanyie tizi chocho awaibukie?
 
Napenda Sana ile mipingili ya mkononi inavyoruka-ruka. Achilia mbali wezere. Ambiance imehamia barabarani kwa kofia ya mazoezi uchwara. Ulimbo huo atakayenasa anase
 
Aisee watu wanafanya mazoezi kwa afya yao unaita ufuska wabongo shida sana kwa kweli...
 
Tangu covid ianze bar zimekauka, madanga yamepotea, ufuska umehamia kwenye mazoezi, na hii nnaiona pia arusha along the new bypass, kuanzia ngaramtoni mpaka usa.. ni full mitego, wadada wengi wanafanya mazoezi kibiashara zaidi
Hata hii njia ya kisongo unakuta wanaanzia hapo Headquarters za Tanapa mpaka karibu na Airport huku ni shida tupu mana misabwanda kama yote roads unaweza kupata ajali
 
Hii sasa imegeuka kama style flani hivi kwa sasa na hii inafanyika mikoa mikubwa especially Dar na Arusha. Kina dada wamegeuza sehemu hiyo kua fursa ya kufanya ufuska wao mwingine. Mtu unajiuliza gym hakuna? Basi kama gym gharama, hakuna maeneo special kwa ajili ya hayo mazoezi?

Au labda kukimbia barabarani kunaongeza ufanisi wa mazoezi? Sasa tazama nguo wanazovaa vs maumbilie yao, tazama maeneo ya barabara wanapofanyia hayo mazoezi, tazama na muda pia. Kisha jumlisha, unipe jibu.

Mimi hesabu zangu zimeniletea majibu mazuri, "Mazoezi barabarani ni njia ya kina dada kujipatia wanaume. (huwenda sio wote)
Muheshimiwa, uzi huu ni total failure kama hauna "maonesho "!Ni kama unaota tu. Some illusions 😂😂😂
 
Kama hujaweka picha utakuwa unapiga pori tu
 
Back
Top Bottom