Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tupia yako kwanza tuone hizo chachanduWakitupia picha mnitagi wajuba
Mbona tunakoseana heshima mkuu. Emu jenga hoja achana na vioja sawa.Tupia yako kwanza tuone hizo chachandu
Daah!!mzee Masawe ameukodolea macho msambwanda 😀😀😀View attachment 1473956kwenye ile kili marathon iliyofanyika juzi kati walimtesa sana mzee massawe ile siku,maana mpaka hiyo mboga ilimuozea hapo hapo akiangalia neema za muumba
HatariDaah!!mzee Masawe ameukodolea macho msambwanda 😀😀😀
Poa. Saa ngapi? Mm nichaji simu pia power bank iwe fullWazee wakutega tukutane jmosi jeshini njia ya exrtenal tuje kuona misabwandaView attachment 1474543
Jamaa anataka wakafanyie tizi chocho awaibukie?Hakuna kitu, we ukimpata ni akili zako zimekutana na zake. Wapo ki mazoezi.
Kando ya road ni cover pia kwao, ngumu kumfanyia hujuma
Poa. Saa ngapi? Mm nichaji simu pia power bank iwe full
Poa. Saa ngapi? Mm nichaji simu pia power bank iwe full
Poa. Nitakuja na Noah full tinted mtu akitaka kukodi 10,000/= kwa 30 minutes.Au bofya namba hapo mkuu
SIKU ZOTE UKIJALI NA KUFUATA YAKO HUWEZI JISHUGHULISHA NA YASIYO KUHUSU
Hii nimecheka sana hahhhaa ..wanaume jamani duhPoa. Saa ngapi? Mm nichaji simu pia power bank iwe full
Kapichaaaa
Hata hii njia ya kisongo unakuta wanaanzia hapo Headquarters za Tanapa mpaka karibu na Airport huku ni shida tupu mana misabwanda kama yote roads unaweza kupata ajaliTangu covid ianze bar zimekauka, madanga yamepotea, ufuska umehamia kwenye mazoezi, na hii nnaiona pia arusha along the new bypass, kuanzia ngaramtoni mpaka usa.. ni full mitego, wadada wengi wanafanya mazoezi kibiashara zaidi
Muheshimiwa, uzi huu ni total failure kama hauna "maonesho "!Ni kama unaota tu. Some illusions 😂😂😂Hii sasa imegeuka kama style flani hivi kwa sasa na hii inafanyika mikoa mikubwa especially Dar na Arusha. Kina dada wamegeuza sehemu hiyo kua fursa ya kufanya ufuska wao mwingine. Mtu unajiuliza gym hakuna? Basi kama gym gharama, hakuna maeneo special kwa ajili ya hayo mazoezi?
Au labda kukimbia barabarani kunaongeza ufanisi wa mazoezi? Sasa tazama nguo wanazovaa vs maumbilie yao, tazama maeneo ya barabara wanapofanyia hayo mazoezi, tazama na muda pia. Kisha jumlisha, unipe jibu.
Mimi hesabu zangu zimeniletea majibu mazuri, "Mazoezi barabarani ni njia ya kina dada kujipatia wanaume. (huwenda sio wote)