Obama wa Bongo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 5,431
- 4,925
Waache wapendezeshe mji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UNAKASIRIKA NNHii sasa imegeuka kama style flani hivi kwa sasa na hii inafanyika mikoa mikubwa especially Dar na Arusha. Kina dada wamegeuza sehemu hiyo kua fursa ya kufanya ufuska wao mwingine. Mtu unajiuliza gym hakuna? Basi kama gym gharama, hakuna maeneo special kwa ajili ya hayo mazoezi?
Au labda kukimbia barabarani kunaongeza ufanisi wa mazoezi? Sasa tazama nguo wanazovaa vs maumbilie yao, tazama maeneo ya barabara wanapofanyia hayo mazoezi, tazama na muda pia. Kisha jumlisha, unipe jibu.
Mimi hesabu zangu zimeniletea majibu mazuri, "Mazoezi barabarani ni njia ya kina dada kujipatia wanaume. (huwenda sio wote)
Nilishawahi uliza hivi watu wa huko mbona mnapenda kuongelea na kudadisi life la mtu asie kuhusu mfn sec chuo kila mtu na maisha yake kwa nini umjadiri mtu wakati wewe mwenyewe dada kaka uwezi kumzibiti sio poa machalii!ukiona msichana mpaka anafika kidato cha 5 mpaka chuo anajitambua usituletee sela zako kama uwezi fanya kama mie nikiwa mwenge nikiwa naenda ubungo nakaa upande wa konda nikiwa ubungo naenda mwenge nakaa upande wa dereva siwezi uonaHii sasa imegeuka kama style flani hivi kwa sasa na hii inafanyika mikoa mikubwa especially Dar na Arusha. Kina dada wamegeuza sehemu hiyo kua fursa ya kufanya ufuska wao mwingine. Mtu unajiuliza gym hakuna? Basi kama gym gharama, hakuna maeneo special kwa ajili ya hayo mazoezi?
Au labda kukimbia barabarani kunaongeza ufanisi wa mazoezi? Sasa tazama nguo wanazovaa vs maumbilie yao, tazama maeneo ya barabara wanapofanyia hayo mazoezi, tazama na muda pia. Kisha jumlisha, unipe jibu.
Mimi hesabu zangu zimeniletea majibu mazuri, "Mazoezi barabarani ni njia ya kina dada kujipatia wanaume. (huwenda sio wote)
TAMAA TU KAZIDIWA WAKAMCHOMOLEA KATOA UVIVU HUKUUMwanaume gani huyo wa kumpatia barabarani.Acha hizo
Mazoezi hayo hayafai,wanauumiza Mwili kwa kuvuta hewa chafu ya exhaust.Wengi wakosa kaziiii