Kina dada mliozaliwa miaka ya 80 your reign is over

Kina dada mliozaliwa miaka ya 80 your reign is over

Wanaume wachafuaji utawajua tu,umepanga kutuchafulia vitoto vya Dada na kaka zetu vitoto ambavyo hata future navyo ni finyu wanaume hebu muwe na huruma unayoyafanya kwa mtoto wa mwanaume mwenzio ndiyo yatakayofanywa kwa binti yako, mimi nna binti mmoja wa kike lakini mume wangu huwa anamuwazia sana hasa pale muda utakapofika mabazazi kama mtoa post watakapoanza kumnyatia
Vipi kama sitaoa wala kuzaa mtoto wa kike?
 
Sisi wa 80s unaotunanga hapa ndio wakwe zako kwa sasa,ambao vibinti vyetu ndivyo hivyo vya 2000s...

Nitake radhi mkweo kwa kuninanga mtandaoni.

Anyway, kiuhalisia,mapenzi kwa mwanamke yananoga kuanzia 30s,anajua ni nini me anataka,wengi akili zimeshakomaa wamejituliza. Hao wengine ni watoto,ndo wanajifunza mapenzi.
Nisamehe mama mkwe,
Sijazungumzia atulivu wa akili, nimemaanisha mvuto, watoto wa 90s bado wako mnato, wako very sexual active, wana mvuto kuliko wa 80s
Hiyo ndio maana yangu
 
Vipi kama sitaoa wala kuzaa mtoto wa kike?
Kama hutaoa mtoto wa kike basi yumkini waweza kua ni Khanisi au basha watu ambao hamkubaliki katika jamii zetu
Hata hivyo ingawaje utakua hivyo lakini watoto wa kike wawezakua ni Dada zako,binamu zako,wapwa zako au mama zako wadogo
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Ishu mnatoo au.??????hivi ukishafikisha 30s ni automatic mnato unapotea au??haiwezekani wa miaka 18 Na kuendelea wakakosa gundi kweli???

Nauliza tuu.
 
Aisee hawa wa 1980's washaruka mitaro mingi wanajielewa sana akikwambia ijumaa 8pm nyakanazi lodge anatia tim on tym akikwambia nakuzalia ujue kaamua safi sana ila hv vya insta mashauzi daah vnahondomolwa mtandao pendwa 0713 bila utaratibu,viongo ,vjanja vjanja tu..[emoji57]
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Ni katika kukumbushana, wala hakuna ugomvi.

Kina Dada mliozaliwa miaka ya 80 utawala wenu umeisha muda wake, sasa ni zamu ya madogo waliozaliwa miaka ya 90.

Kama umezaliwa miaka ya 80 na bado unaamini unasumbua mjini utakua unajidanganya, utasumbua madingi wa ila sio vijana wa age yako, mmeishakua zilipendwa.

Mimi ni age mate wenu ila siwezi hata kuthubutu kuwatongoza, range rover ya miaka ya 80 haiwezi kulingana ubora na vits ya miaka ya 2000, mileage ya range ni kubwa sana .

Kama bado mtu alikua na hayo mawazo naomba uyaache na utundike daluga uwaachie vijana wa miaka ya 90 watawale ingawa na wao tunawapa hii term moja ya magu watatoka barabarani madogo wa 2000 wachukue hatamu.

Ingawa haya ni maoni yangu binafsi ila ndio ukweli wenyewe. Sisi wa kiume wa miaka hiyo bado tupo tupo sana.
Kitu 1979 kurudi nyuma acha bwana unapewa papuchi Plus money including ushauri wa maisha hawa wa 80s na 90 full headache
 
Mleta uzi hujajua kua wanawake ni kama "wine" vile. They get sweeter with age. I luv matured women.
 
Mkuu, I beg to differ... Muone mama Salma na uzee wote ule bado ana hit kuliko vibinti vya born 90! Ni vile tu unavyojiweka na kupunguza dhiki ndogo ndogo na kuish stress free life, bado utang'ara...
Screenshot_20170320-230501.png
 
Back
Top Bottom