NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
Najua mkuu unakimbia garama hata mm huwa nachukua vidogo kwa kuogopa garama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu umwguswa nnIvi kwa akili yako hao wadada wa miaka hiyo wanawafikiria nyie??? We fata tu watoto wa 90 na hao wadada watafwata na wanaume wa 70... Thats life...
Mimi wa 90's mkuuMkuu umwguswa nn
Mkuu njoo tuyajenge maisha ndo haya hayaMimi wa 90's mkuu
Unataka ucalculate umri wangu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Umemaliza lini mama?
Sogea bibie hawajui kwamba nyie ni alumasi mchangani.Kabisa naja tuyajenge aise
Unaongeleaje case ya Janet Jackson?Pole sana
Nnachokiongea nakijua,Unaongeleaje case ya Janet Jackson?
Wanaume wa 60s na early 70s ndio watavutiwa na wadada wa 80s, wanaume wa late 70s hawana mpango na wadawa wa 80s, tuko nao tunascramble kwa wadada wa 90s ingawa wao tutawaachia wadada wa early 90s sisi tuhamie kwa wadada wa 2000Ivi kwa akili yako hao wadada wa miaka hiyo wanawafikiria nyie??? We fata tu watoto wa 90 na hao wadada watafwata na wanaume wa 70... Thats life...
Nyie madingi wa 50s ndio saizi yenuNa sisi wa miaka ya70 je
Ushakua zilipendwa mama, saiv winda madingi wa 60sWe mwenyewe hutufai, mwanamke gani anaejitambua anaweza akawa na mwanaume km ww. We nenda tu kwa hao wadogo zetu ambao nao bado hawajitambui km ww.
WokeeyNyie madingi wa 50s ndio saizi yenu
Wao miaka ya mkapa wametusumbua sana, sisi wenzao wa miaka yao wa kiume wengi tulikua hatujakaa poa, sasa wameshatoka barabarani, wakubali muda wao umekwishaVunja mifupa wakat meno bado ipo[emoji445][emoji444]....km usichana wako uliutumia vibaya kipindi cha mkapa huu uzi utakuumiza ukisoma comments.
Mungu ni mwema.
Mkuu, ukweli na ufataki wapi na wapi, mimi nimesema kweli ndugu yangu.Mifataki utaijua tu!!
Hatuwasiss kiongozi, yumewakumbusha tu kua muda wao wa kusumbua mjini umeishapita, huu ni ukumbusho tu kwa dada zetu kua kizazi kipwa na kibichi kishashika hatamu wao wapumzike tu.Nyie mnao wadiss hawa dada zetu wa 80's nawasikitikia sana labda km mna mpango wa kutooa maishani lkn kumbukeni hata hao wa 90's mnao waona wazuri leo nao muda wao utapita tu. Mi binafsi ni wa early 80's na nawakubali sana dada zangu hawa nyie endeleeni kuwadiss tu.
segerea inakuitaUmenikumbusha juzi kuna mtoto nimekutana nae nilidhani anaweza kuwa wa mwaka 1990-1993 mtoto kumbe wa mwaka 2000 kapanda hewani afu bonge la mshepu ndio katoka kumaliza form 4 da nipo kwenye mchakato sasa wa kupata kitu kibichi
Sijazungumzia akili, nimezugumzia mvutoOld is gold
Wadada wa 80s wamekomaa kiakil ukilinganisha na hao 90s.
Endelea kujidanganya hivyo hivyo. Usilolijua ni sawa na usiku wa giza.Ushakua zilipendwa mama, saiv winda madingi wa 60s