Kina dada mliozaliwa miaka ya 80 your reign is over

Vipi kama sitaoa wala kuzaa mtoto wa kike?
 
Nisamehe mama mkwe,
Sijazungumzia atulivu wa akili, nimemaanisha mvuto, watoto wa 90s bado wako mnato, wako very sexual active, wana mvuto kuliko wa 80s
Hiyo ndio maana yangu
 
Vipi kama sitaoa wala kuzaa mtoto wa kike?
Kama hutaoa mtoto wa kike basi yumkini waweza kua ni Khanisi au basha watu ambao hamkubaliki katika jamii zetu
Hata hivyo ingawaje utakua hivyo lakini watoto wa kike wawezakua ni Dada zako,binamu zako,wapwa zako au mama zako wadogo
 
Reactions: SDG
Ishu mnatoo au.??????hivi ukishafikisha 30s ni automatic mnato unapotea au??haiwezekani wa miaka 18 Na kuendelea wakakosa gundi kweli???

Nauliza tuu.
 
Aisee hawa wa 1980's washaruka mitaro mingi wanajielewa sana akikwambia ijumaa 8pm nyakanazi lodge anatia tim on tym akikwambia nakuzalia ujue kaamua safi sana ila hv vya insta mashauzi daah vnahondomolwa mtandao pendwa 0713 bila utaratibu,viongo ,vjanja vjanja tu..[emoji57]
 
Reactions: SDG
Mtu wa 2000 anaweza kua kamaliza form 4?
Jibu ni ndiyo kama ameanza drs LA kwanza na miaka6 kwa mtoto wa kike mwenye Afya njema,atamaliza la7 Akiwa na12yrs atakuwa amemamaliza form4 mwaka Jana Akiwa na 16yrs
 
Reactions: SDG
Kitu 1979 kurudi nyuma acha bwana unapewa papuchi Plus money including ushauri wa maisha hawa wa 80s na 90 full headache
 
Mleta uzi hujajua kua wanawake ni kama "wine" vile. They get sweeter with age. I luv matured women.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…