Kina dada naombeni msaada wenu, chupi nzuri za kike nazipata maduka gani hapa dar?

Kina dada naombeni msaada wenu, chupi nzuri za kike nazipata maduka gani hapa dar?

Kufuli hufungi, ila unajua kufuli zinapouzwa.

Why?

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Baada ya uzi huu najua watu lazima wanunue kufuri zingjne,jiandaeni kisaikolojia wanaume maana lazime watu waombe kuzibitishiwa badae.
 
Back
Top Bottom