klorokwini
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 8,647
- 5,145
Hebu mnisaidie wajameni, huyu binti Egyps-women mbona kama? I mean sijui nisemeje manake kama mgeni sio mgeni au mi ndo nimekuwa mgeni uenyejini? Hebu do ze nidiful Egyps (off topi)
Nimetumia lugha ya ujumla.lakini mie sipo desperate,siningekuwa nimeshategesha kamimba long time kama ndugu yake FL1 ili unioe kwa lazima? ...........Ngoja niende Pm kama ulivyoshauri,mambo mengine hayafai kuongea hadharani..............................:dance:Mchumba sikujua, uko desperate kuolewa? Hebu twende PM mara moja!
Good afternoon his Excellency!! Hii world cup imenipa malaria kali sana. Hebu do the needful hapo
Nimetumia lugha ya ujumla.lakini mie sipo desperate,siningekuwa nimeshategesha kamimba long time kama ndugu yake FL1 ili unioe kwa lazima? ...........Ngoja niende Pm kama ulivyoshauri,mambo mengine hayafai kuongea hadharani..............................:dance:
Hebu mnisaidie wajameni, huyu binti Egyps-women mbona kama? I mean sijui nisemeje manake kama mgeni sio mgeni au mi ndo nimekuwa mgeni uenyejini? Hebu do ze nidiful Egyps (off topi)
ha ha ha ha!...nikokota hela lazima nikununuliw VALUU wewe
eeh hivi who benefits more kwenye marriage? mie naoana ni wanaume....wao ndio wafuliwe nguo wapikiwe uwazalie watoto, uwalee watoo... etc;;;and what women gets out of marriage? they got to do all that work (dammit).. lakni kwanini sasa wanaume ndio wawe wanalazimishwa kuoa? it should be Vice Versa... Mie mpaka nimjaribu hasa mwanaume ndio niolewe..nimuona kama he really worth my while... and if he already values me and sees me for the woman that I am."....Kazi ipo.Nao wanaume sometimes huwa wanachangia sana hali hii kwa wanawake.wanaume wengi huwa hawataki kuoa mpaka wa'test' kwanza(tena kutest mpaka mwanamke abebe mimba) ndipo wanakubali kuoa.Na wakitukuta wanawake tupo desperate na kuolewa ndio basi wanafanya watakavyo!
its been a while mpaka kamchicha karibu kabanike eeh!!!
eeh hivi who benefits more kwenye marriage? mie naoana ni wanaume....wao ndio wafuliwe nguo wapikiwe uwazalie watoto, uwalee watoo... etc;;;and what women gets out of marriage? they got to do all that work (dammit).. lakni kwanini sasa wanaume ndio wawe wanalazimishwa kuoa? it should be Vice Versa... Mie mpaka nimjaribu hasa mwanaume ndio niolewe..nimuona kama he really worth my while... and if he already values me and sees me for the woman that I am."....
Teh teh teh! naomba unaingia hata bila ya hodi.au ndio salamu toka WC SA? Umetoka kumshangilia Tshabalala!????????vipi shem Bala hajambo lakn?
Kazi ipo.Nao wanaume sometimes huwa wanachangia sana hali hii kwa wanawake.wanaume wengi huwa hawataki kuoa mpaka wa'test' kwanza(tena kutest mpaka mwanamke abebe mimba) ndipo wanakubali kuoa.Na wakitukuta wanawake tupo desperate na kuolewa ndio basi wanafanya watakavyo!
Ningependa uwe unasoma kwanza kabla ya kujibu.....Hiyo imekaa poa. Jamaa avute kifaa kingine, bibie akija na tumbo lake apokelewe na vuvuzela!!
Hawa viumbe wanaume wana raha sana,eti mpaka wananywewa sumu sasa! Wengi wetu sie wanawake tuna UJINGA/UPUMBAVU fulani hivi.We real need to be EXPENSIVE kama ambavyo tuliumbwa.Tatizo tunajishusha sana thamani zetu.
Hebu nenda st Joseph au msimbazi ufanye research.Mabibi arusi wengi wana mimba,nadhani 8 kati ya 10 wanakuwa tayari wametenda dhambi ya kuzini(i mean wana mimba kabla ya ndoa).Ila hapo sijajua kama walijirengesha mimba au ni wanaumewalitaka mpka kitu (mimba)kikubali kwanzakutest muhimu sana, ila sasa nninyi wadada ndo shida unalengesha unadhani ndo kibali cha kuolewa? Atajibeba!!!!
hii post imetulia sana kwa ukombozi wenu kina mama. yaani mngeweza kuifanyia kazi hiyo buluu hapo juu basi hii dunia ingelitulia.I agree with u, women are naturally expensive , lakini mmejibadilisha mmekuwa cheap kuliko kadi ya CCM. (sio wote lakini)
Kweli haka Kabinti mie nimeshindwa kukaelewa kabisa ...nadhani kamefanya makosa ambayo katayajuitia baadae ..na sijui kama huyu jamaa atatangaza nia ..
nimeona hapo tu kwenye buluu lol!! ndo mana nakupendaga