Hivi maaskofu nao si wanaume? (Sore ofu topiki)
inategemea bana!Hivi maaskofu nao si wanaume? (Sore ofu topiki)
kiarabu tena?....There are currently 45 users browsing this thread. (22 members and 23 guests)
bht* Ndahani MalaikaMweupe katelero klorokwini Nyamayao+ loner FirstLady1+ Mburahati Bigirita+ Lily Flower Fisherscom Shishi Edson smalnama vivian chloe.obrain nyange Ng'azagala ral Mfamaji Chumakibolimoto
soma kiarabu mpwaz
tehe tehe tehe halafu amalizie na Makabayo sura ya nne mstari wa saba na kuendelea.kasome zaburi 129
lol...vipi mami ndoa inakupelekaje? mawifi bado hawajaanza fujo zao? wakianza niite mara moja![/QUOTE]
tchaaaaaaaaaaa!!! dearest bana mi staki kucheka lol!!!
akikuita unaharibu mazima afu sasa utaondoka na Shiroo au unamwacha hapo hapo kwake??
aniite nimpe mbinu za kupambana nao dearest.... shiroo ndio anatakiwa awaondoe hao wakileta musheri!
Sasa mbona wanaitwa BABA askofu?hata wa kike wapo bana......
Yule sishangai. Ni mheshimiwa pia, daktari na kada wa CCM.inategemea bana!
mbona mama rwakatare mwanajike:biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1:
aniite nimpe mbinu za kupambana nao dearest.... shiroo ndio anatakiwa awaondoe hao wakileta musheri!
Hivi wewe ulizaliwa mchana wa saa ngapi?
Kwa maaskofu hazipungui, kwani huwa zinatumika wapi hadi zipungue??!Hivi maaskofu nao si wanaume? (Sore ofu topiki)
hehehehe nimenote hapo buluu, waifu akileta za kuleta nitakuPM .
nakuaminia askari wa vita!!!aniite nimpe mbinu za kupambana nao dearest.... shiroo ndio anatakiwa awaondoe hao wakileta musheri!
haya Shiroo ashindwe mwenyewe tu.....
(mi naogopa sana mawifi dearest...)
Naona upo kimkakati!!Vivian, hujambo? umeadimika sana hapa......
Sasa mbona wanaitwa BABA askofu?
Hivi wewe ulizaliwa mchana wa saa ngapi?
nitamuuliza mama nyamayao keso nitakupa jibu.
Hivi maaskofu nao si wanaume? (Sore ofu topiki)
hata wa kike wapo bana......
inategemea bana!
mbona mama rwakatare mwanajike:biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1::biggrin1:
mkuu nilizani ni komenteta tu kumbe hata "maeneo ya mbinguni" unapatikana?
Kwa maaskofu hazipungui, kwani huwa zinatumika wapi hadi zipungue??!
Hivi kuna issue za gender identity hapa?
hahaa mkuu klorokwini ukiendelea anaweza kukwambia ukasome zaburi ya 170 tehe tehe tehe
nakuaminia askari wa vita!!!
haya Shiroo ashindwe mwenyewe tu.....
(mi naogopa sana mawifi dearest...)
kosa kubwa hilo! komaa nao....mie nina mmoja utasema ninao 60, lakini kashindwa mwenyewe, halafu mama mkwe wako kaja, nasubiri maamuzi ya mr ndio nije nishushe thread!....ndoa bwana wacha tu.
Naona upo kimkakati!!
logistiksi za kulenga kwa manati!!
Kwa maaskofu hazipungui, kwani huwa zinatumika wapi hadi zipungue??!