Kina dada tupunguze maamuzi yasio ya muhimu kwa kaka zetu waingiapo kwenye ndoa zao

ila sasa awaza lile tunda ntapata wapi? dada namtaka na tunda nataka.....mtihani huu

Tunda utajua hatma yake ukishafika kwa dada ha ha ha au muombe ushauri dada ako
Au waweza chukua sabuni ukafanye mambo ya nape
 
Kuna story moja mke alipoona Wifi kazidi alimualika chumbani huku akijua kaka mtu(mume) dushelele iko 90 degree akamwambia njoo utoe huduma kwa kaka yako.

Mweh bonge la tusi....
 
Kuna story moja mke alipoona Wifi kazidi alimualika chumbani huku akijua kaka mtu(mume) dushelele iko 90 degree akamwambia njoo utoe huduma kwa kaka yako.

Hahahaaaa! Watu wamepinda!!
 
Kwa kweli inakera sana...usiombe yakukute,mi nimepata mpaka vidonda vya tumbo kwasababu ya ndugu Wa mume wangu
 
Ni wajibu wangu kuwasaidia ndg zangu pale ninapokuwa na uwezo wa kufanya hivyo lakini nitakapooa haiingii akilini Mdogo wangu wa kike kuingia chumbani kwangu...hata sasahv si ruhusa kufanya hivyo labda kama naumwa na nimezidiwa.
 
mke/wifi wakiwa marafiki kuna kitu kinafanyika out of you kaka
na kutokuwa marafiki ndo kuliko zoeleka
kaka yakupashwa kujitambua kuwa sasa hivi nimeoa na napashwa kuwa na mipaka kwa ndugu na jamaa kama mwanzo kuna majukumu alikuwa anafanya dada basi amepatikana mfanyaji na kama kulikuwa na mazoea tunafanya ambayo yanaweza kumkwaza mwenzio basi yaishie hapo
 
 
Ni wajibu wangu kuwasaidia ndg zangu pale ninapokuwa na uwezo wa kufanya hivyo lakini nitakapooa haiingii akilini Mdogo wangu wa kike kuingia chumbani kwangu...hata sasahv si ruhusa kufanya hivyo labda kama naumwa na nimezidiwa.
 
 
Umeongea kweli tupu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…