Wakati wanawake wa jf ndio hao hao wanaopishana nao njiani wanabaki kudondosha mate kama simba mwenye njaa akimuona nyati aliyenona
HahahahahahEwaaaaaaaa hili neno nalo wanajua wanawake wa jf wabaya yaani hiki ndio kipo akilini mwao
Basi sawa wewe ni mstaarabu sana.Binafsi ningetuma sijui wajumbe wengine
Mkuu ktk utafiti usio rasmi...na shuhuda za wadau mbali mbali! Wadada wa JF wengi hawana muomekano wa kuvutia...na hii ndiyo sababu wachache sana wanaeza kubali kuonana na male members au kutuma pic kwa kuogopa kufahamika uhalisia wao na shobo zile zinazowapa angalau comfort kuisha mara moja...Wakati wanawake wa jf ndio hao hao wanaopishana nao njiani wanabaki kudondosha mate kama simba mwenye njaa akimuona nyati aliyenona
Mkuu ktk utafiti usio rasmi...na shuhuda za wadau mbali mbali! Wadada wa JF wengi hawana muomekano wa kuvutia...na hii ndiyo sababu wachache sana wanaeza kubali kuonana na male members au kutuma pic kwa kuogopa kufahamika uhalisia wao na shobo zile zinazowapa angalau comfort kuisha mara moja...
Na hii sio kwa JF pekee..bali kwa mitandao mingi yenye kuweka siri taarifa za watumiaji... Sio rahisi kukuta wadada wazuri wamejaa,mostly wale wenye muonekano hafifu ndiyo hujaa ili kupata angalau comfort ya kusifiwa mana ktk maeneo wanayofahamika hawapewi muitikio chanya...
Nawasilisha...
Kama ulivyosema ni utafiti usio rasmi. Ukisema wadada wengi wa jf inamaana katika hao wengi umekutana nao wewe?? Na kwani wadada humu wamekuja kusifiwa na kupewa comfort?Mkuu ktk utafiti usio rasmi...na shuhuda za wadau mbali mbali! Wadada wa JF wengi hawana muomekano wa kuvutia...na hii ndiyo sababu wachache sana wanaeza kubali kuonana na male members au kutuma pic kwa kuogopa kufahamika uhalisia wao na shobo zile zinazowapa angalau comfort kuisha mara moja...
Na hii sio kwa JF pekee..bali kwa mitandao mingi yenye kuweka siri taarifa za watumiaji... Sio rahisi kukuta wadada wazuri wamejaa,mostly wale wenye muonekano hafifu ndiyo hujaa ili kupata angalau comfort ya kusifiwa mana ktk maeneo wanayofahamika hawapewi muitikio chanya...
Nawasilisha...
Hahahahahah
Mkuu umesoma vzr umeelewa!?Acha uzushi mkuu...JF imekua nini kiasi ku tap wadada wabaya peke yake?
Nawe fungua PM unatuchosha tunaokusololeaSalaam sio tatizo salimia mara moja basi lakini sio ukiingia ukitoka salaam eiiiish salaam mara 10 kwa siku
Si una ndg vijijini watumie salaam radio free africa au radio one
Achana na wasalaam kuna wale wa maswali maswali mengiii vipi upo, umekula nini, uko wapi eiiish nilivyo mvivu sasa
Mkuu umesoma vzr umeelewa!?
Kuna mambo mawili hujayaelewa au hujayaona ktk huo ujumbe...
1* cjasema wadada wote jf nimesema asikimia kubwa...kitu ambacho ni cha kweli!
2* sijasema jf pekeake,bali mitandao mingi yenye kuweka siri taarifa za watumiaji,imekua ni mkombozi wa wadada wasio na muonekano mzuri kupata shobo nyingi za male members
Pitia tena, this is not personal....najaribu tu kutoa hoja yangu!
Keyboard ni silaha kubwa sana ya wadada wasio na muonekano mzuri...Kama ulivyosema ni utafiti usio rasmi. Ukisema wadada wengi wa jf inamaana katika hao wengi umekutana nao wewe?? Na kwani wadada humu wamekuja kusifiwa na kupewa comfort?
Muonekano hafifu unashusha kujiamini kwa mabinti...dats all! mbwembwe zote za jf ni kwakua hawaonekani wakifahamika kujiamini kunashuka....hujajibu WHY JF na hio mitandao ya siri ,iwe na asilimia kubwa ya wanawake wabaya.?
Kwa kiasi kikubwa wadada wanaojihusisha sana na hii mitandao yenye privacy kubwa...huwa hawana muonekano mzuri kabisa...angalau ktk hyo mitandao wanapata comfort ya kusifiwa wa kua watu wanao interact nao hawawafaham... Na hii ndio sababu mtu hafanyi kitu chochote hatarishi lkn bado ID yake hataki iwe revealed mana watu wakijua muonekano wake ni hafifu basi wata mkimbia na shobo zitaisha.....
Nawasilisha
Keyboard ni silaha kubwa sana ya wadada wasio na muonekano mzuri...
Wataweka maneno matamu ktk post zao na mbwembwe nyingi sana sinazopelekea jinsia tofauti kuvutiwa ilihali kiuhalisia wadada hao hawana mvuto... Na ndiyo sababu kuu humu ndani kilio kikubwa ni wadada kugoma kutuma picha hata ktk maongezi private au kukataa kuonana na male members kuogopoga kupoteza ile hamasa yao juu yao...
Nawe fungua PM unatuchosha tunaokusololea
Ila watu tusio na mvuto huwa tunapata tabu sana lol!Mkuu ktk utafiti usio rasmi...na shuhuda za wadau mbali mbali! Wadada wa JF wengi hawana muomekano wa kuvutia...na hii ndiyo sababu wachache sana wanaeza kubali kuonana na male members au kutuma pic kwa kuogopa kufahamika uhalisia wao na shobo zile zinazowapa angalau comfort kuisha mara moja...
Na hii sio kwa JF pekee..bali kwa mitandao mingi yenye kuweka siri taarifa za watumiaji... Sio rahisi kukuta wadada wazuri wamejaa,mostly wale wenye muonekano hafifu ndiyo hujaa ili kupata angalau comfort ya kusifiwa mana ktk maeneo wanayofahamika hawapewi muitikio chanya...
Nawasilisha...
Muonekano hafifu unashusha kujiamini kwa mabinti...dats all! mbwembwe zote za jf ni kwakua hawaonekani wakifahamika kujiamini kunashuka....
Ila watu tusio na mvuto huwa tunapata tabu sana lol!
Vp upo? Umekula niniSalaam sio tatizo salimia mara moja basi lakini sio ukiingia ukitoka salaam eiiiish salaam mara 10 kwa siku
Si una ndg vijijini watumie salaam radio free africa au radio one
Achana na wasalaam kuna wale wa maswali maswali mengiii vipi upo, umekula nini, uko wapi eiiish nilivyo mvivu sasa